TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Mnadhani kila kitu ni fursa eeh.....ngoja ukute mh. ana luku!
Luku hata Serengeti zipo kibaoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnadhani kila kitu ni fursa eeh.....ngoja ukute mh. ana luku!
Looh au baby naomba no ya mama kuna mzigo nataka nimtumie kidogo....basi unazama kwa tigopesa mambo hadharan
Yaani binam najitumaa weweee nikipewa nyingi ni ya simu tena mchina low quality...
Kweli mjini chuo kikuu
HaaaaHaaaa...I Like You Tatiana...That Mind Of Yours...Dooooh...
Ndo nimeanza shost.....sasa hv linatakiwa jina lake kamili na mama yake.Sasa mama yake ndo balaa sijui nitalipata wapi!!!
HaaaHaaaa....Mna Vituko Nyie....
Ndio hivyo mamii....lazima tuchakarike...mjini hapa ooohoo
Sijui nani aliyekuwa architecture designer wa Hilo jengo? Maana hakuna kitu kwenye designing mkuu.
Hahahaa...ingia anga zangu uone lazima unase
Mwagie tindikali atakupenda mnoo
Ah we unaemtafuta kiboro dinda mabwepande ukaboost ndio utaninatisha kweli??!!
Nimekulia mwanza kule wanapotumia fisi kama usafiri na kwetu ni kipumbwii-Tanga,tathimini!!
Haki ya nani,
kinu kyajenga numba kikawura na makari.
Rudi mbea mwenzangu nikupeleke kwa sangoma ukarogeee