Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Mswaki uhu wengi wanautumia sana na ili waache kutumia bas labda waone mtoto anauchezea chini au umeangukia chooni vinginevyo utatumika mpaka ulie up one kushoto 🤣🤣 au aende safari af awe amehusahau atanunua mwingine kama uhu uhu ni jero tu wanauza.

DSC_0009.JPG
 
Back
Top Bottom