Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hakika Mkuu, ilikuwa ni Mwaka 47Hiyo ilikuwa mwaka 47 bila shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mkuu, ilikuwa ni Mwaka 47Hiyo ilikuwa mwaka 47 bila shaka
Aminajambo la muhimu na la maana zaidi ni kusukutua kinywa chako kwa usahihi kwa dawa nzuri ya meno na maji safi,
na kuhikisha kinywa chako kinakua safi wakati wote na haikitoi harufu mbaya, ambayo mara nyingi inakua kero na usumbufu kwa wengine, lakini pia ni fedheha sana watu wanaokuzunguka wakijua unanuka mdomo dah, yaani hupigi mswaki na wala hauna mswaki wa gharama nafuu kama huo.
pamoja na hayo,
niwatakie wadau wote wa jukwaa hili muhimu sana, maandalizi mema ya likizo za Christmas na mwaka mpya2025.
Mungu awabariki sana![]()
Huko kijiji cha ushiromboHakika Mkuu, ilikuwa ni Mwaka 47
Mwigulu katoa oda u-goo kwenu.Unapinga amri ya mkuu?Ahahah ninaomba uraia wa hapa
Usijali Mkuu, ukija DSM Christmas hii utaikuta nimekuleteaAhahhah fanya uniletee na mm
Ni Kijiji cha Nansio huko ndani ndani ziwani 🤗Huko kijiji cha ushirombo
kumbi kumbi si unajua mvua wadudu wengiHao ni nzi? Ukiacha mswaki
Napingana nayo labd aje anitoe na watekajiMwigulu katoa oda u-goo kwenu.Unapinga amri ya mkuu?
Aha poaUsijali Mkuu, ukija DSM Christmas hii utaikuta nimekuletea
Uko ukelewe sitamn kwenda tena wachawi sanaNi Kijiji cha Nansio huko ndani ndani ziwani 🤗
Na dirisha wamelitafuna mpaka rangi haya mkuukumbi kumbi si unajua mvua wadudu wengi
We ujui nyumba za kota zilivyo ww unaweza kulekebisha kota?Na dirisha wamelitafuna mpaka rangi haya mkuu
Hili ndio tatizo lenuWe ujui nyumba za kota zilivyo ww unaweza kulekebisha kota?
Gvt inapesa mingHili ndio tatizo lenu
Hata maji yakijaa mlangoni mnavua viatu mnapita
Sasa chumba naishi mimi miaka kwanini nisubiri waje warekebishe wao?
Unaweza kurekebisha mwenyewe
hiyo ni dawa ya mswaki toshaKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Safisha geto mjomba, hali si haliMpaka wewe ase?
Safisha geto mjomba, hali si hali
Mimi Babu yako nipo, nitaimarisha Ulinzi 🤗Uko ukelewe sitamn kwenda tena wachawi sana