Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

jambo la muhimu na la maana zaidi ni kusukutua kinywa chako kwa usahihi kwa dawa nzuri ya meno na maji safi,

na kuhikisha kinywa chako kinakua safi wakati wote na haikitoi harufu mbaya, ambayo mara nyingi inakua kero na usumbufu kwa wengine, lakini pia ni fedheha sana watu wanaokuzunguka wakijua unanuka mdomo dah, yaani hupigi mswaki na wala hauna mswaki wa gharama nafuu kama huo.

pamoja na hayo,
niwatakie wadau wote wa jukwaa hili muhimu sana, maandalizi mema ya likizo za Christmas na mwaka mpya2025.

Mungu awabariki sana :pulpTRAVOLTA:
Amina
 
We ujui nyumba za kota zilivyo ww unaweza kulekebisha kota?
Hili ndio tatizo lenu
Hata maji yakijaa mlangoni mnavua viatu mnapita
Sasa chumba naishi mimi miaka kwanini nisubiri waje warekebishe wao?
Unaweza kurekebisha mwenyewe
 
Hili ndio tatizo lenu
Hata maji yakijaa mlangoni mnavua viatu mnapita
Sasa chumba naishi mimi miaka kwanini nisubiri waje warekebishe wao?
Unaweza kurekebisha mwenyewe
Gvt inapesa ming
 
Ukitumia huo mswaki alafu usipate kansa ya koo basi wewe unaweza pambana hata na malaika mtoa roho za watu.
 
Back
Top Bottom