Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afanye tu kilichompeleka aache umbea ila Dar ni pachafu sanaKwahy mkuu unataka kusemaje labda
Kwanini unavaa nguo kama mama 😳Wew mm sio mama
Sawa bhna mshnd wewAlafu we mchafu
Mwambie Half americanMwanaume ukiwa msafi unaambiwa "Una mambo ya kike". 😅
Ahahah na ndio itakuwa sababu ya kuubadirishaHapo babe wako hachelewi kuutumia kama kipakio cha gel.
Sio pote bhnaP
afanye tu kilichompeleka aache umbea ila Dar ni pachafu sana
Wapi mfano?Kwanini unavaa nguo kama mama 😳
Kaka umetisha aseMimi kuuacha huo mswaki ni mpaka hizo nyuzi ziwe kama zimepitishwa kwenye moto. 😅
Kikubwa ni kuwa msafiMwanaume ukiwa msafi unaambiwa "Una mambo ya kike". 😅
Ndio kichaja tunachojifichia kwenye uchafu.Mwambie Half american
HatushindaniSawa bhna mshnd wew
Karibu unisaidieAchana na huo mswaki kwanza, hicho chumba ni kichafu UTI nje njee,ptuu acheni usela mavi safisha geto ilo.
Brother Half american punguza kumsagia kunguni kijana. Atakimbia thread 😁😁Acha kabisa wananishindilia sana hasa Half american
Aache uchafu 😂Brother Half american punguza kumsagia kunguni kijana. Atakimbia thread 😁😁
Wenye pesa ni wale wa ku view bila comments, ila sisi sasa kukoment na kujimwambafai te teh teh.Jeiefu kuna watu wana pesa ni hatari sana
Wewe,kwa nini haujui kiswahili?Mswaki uhu wengi wanautumia sana na ili waache kutumia bas labda waone mtoto anauchezea chini au umeangukia chooni vinginevyo utatumika mpaka ulie up one kushoto 🤣🤣 au aende safari af awe amehusahau atanunua mwingine kama uhu uhu ni jero tu wanauza
NishakimbiaBrother Half american punguza kumsagia kunguni kijana. Atakimbia thread 😁😁