Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Mimi kuuacha huo mswaki ni mpaka hizo nyuzi ziwe kama zimepitishwa kwenye moto. 😅
 
Achana na huo mswaki kwanza, hicho chumba ni kichafu UTI nje njee,ptuu acheni usela mavi safisha geto ilo.
 
Mswaki uhu wengi wanautumia sana na ili waache kutumia bas labda waone mtoto anauchezea chini au umeangukia chooni vinginevyo utatumika mpaka ulie up one kushoto 🤣🤣 au aende safari af awe amehusahau atanunua mwingine kama uhu uhu ni jero tu wanauza
Wewe,kwa nini haujui kiswahili?
 
Back
Top Bottom