Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #101
Ahaa jamnAache uchafu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa jamnAache uchafu 😂
Na wanakujaga pm kama wanabaishajiWenye pesa ni wale wa ku view bila comments, ila sisi sasa kukoment na kujimwambafai te teh teh.
Mimi sio mtzWewe,kwa nini haujui kiswahili?
Ndio mizuri iyoHuku Vijijini, Wazee wenu tumezoea kutumia miswaki ya Miti, ambapo Colgate yetu ni mkaa ama majivu
Rudi kwenu Djibouti ukale miraa.Mimi sio mtz
Shati ya satini...ngozi nyororo na mikufu kama wadada wa MombasaWapi mfano?
Mkisikia alitumia Babu hadi Mjukuu ndiyo hiyo 🤗Ndio mizuri iyo
Mrs Guede uliadimika sana.Kuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Hiyo ilikuwa mwaka 47 bila shakaHuku Vijijini, Wazee wenu tumezoea kutumia miswaki ya Miti, ambapo Colgate yetu ni mkaa ama majivu
Hoja dhaifu sana, hata mimi nimeukataaUtetezi wako nimeukataa,
Safisha Geto kijana,
😎
Ahahah ninaomba uraia wa hapaRudi kwenu Djibouti ukale miraa.
Kumbe wewe ujipende unapenda kuwa rafShati ya satini...ngozi nyororo na mikufu kama wadada wa Mombasa
jambo la muhimu na la maana zaidi ni kusukutua kinywa chako kwa usahihi kwa dawa nzuri ya meno na maji safi,Mswaki uhu wengi wanautumia sana na ili waache kutumia bas labda waone mtoto anauchezea chini au umeangukia chooni vinginevyo utatumika mpaka ulie up one kushoto 🤣🤣 au aende safari af awe amehusahau atanunua mwingine kama uhu uhu ni jero tu wanauza
View attachment 3171865

Ahahhah fanya uniletee na mmMkisikia alitumia Babu hadi Mjukuu ndiyo hiyo 🤗
Mpaka wewe ase?Hoja dhaifu sana, hata mimi nimeukataa
Pagumu na sichomokiMleta mada kageukwa, yaani hapa pagumu sana...🤣🤣🤣
Ameshakusikia 😁Aache uchafu 😂
Sawa mkuu awe na amaniAmeshakusikia 😁