Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
ππππππKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Kama vipi tumpitishie mchango Kijana wetu.safisha feto, badili na mswaki
Nan. Kasema wakt wengine wanasafir na mswakiMatajiri wa JF wanatumia aina hiiView attachment 3171892
Wa hali ya juuNi umasikini tu.
Mpaka akili yake ni chafu ndio inamtuma kuuona uchafu ni jambo la kawaida tu.Inaonekana anae tumia huo maswaki ni mchafu sana kuanzia mavazi hadi life style yake ni chafu mno
Wao wanasukutua na maji tu imepitaWanywa spirit hawahitaji mswaki π
Hii balaa sasa ase π€£Kama vipi tumpitishie mchango Kijana wetu.
Ahahhah aseInaonekana anae tumia huo maswaki ni mchafu sana kuanzia mavazi hadi life style yake ni chafu mno
Ahahah ase leo umekeleka sanaMpaka akili yake ni chafu ndio inamtuma kuuona uchafu ni jambo la kawaida tu.
Duh hiyo β¬ euro ukichange kwa pesa ya bongo ni pesa ndefu sana ni kama milioni 5 hiviMatajiri wa JF wanatumia aina hiiView attachment 3171892
Online inspectors πKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Ahahah sio na miti?Kwa sisi tunaosafisha Meno kwa kidole,
Hii mada haituhusu.
Naunga mkono hojaMpaka akili yake ni chafu ndio inamtuma kuuona uchafu ni jambo la kawaida tu.
Pesa ndogo sana iyoDuh hiyo β¬ euro ukichange kwa pesa ya bongo ni pesa ndefu sana ni kama milioni 5 hivi
Kwhy unaungana nae ety kutukana watzNaunga mkono hoja