Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Watakuja kusema ndio uanaume.Kuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Sio kwangu hapo nipo ugeniniKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Sio kwangu ase nipo ugenin nikaenda choo nikakuta na uho mswaki nikawa nachekaWatakuja kusema ndio uanaume.
Wanunulie mipyaSio kwangu ase nipo ugenin nikaenda choo nikakuta na uho mswaki nikawa nacheka
Utetezi wako nimeukataa,Sio kwangu hapo nipo ugenini
Ahaha how comessWanunulie mipya
Sio geto langu bhna ,🤣🤣geto chafu unavushaje?
Nakazia asafishe geto ilo aache kujikuna mbupu, usafi ni afya.Utetezi wako nimeukataa,
Safisha Geto kijana,
😎
Sio kwangu najua uamin 🤣🤣Utetezi wako nimeukataa,
Safisha Geto kijana,
😎
safisha geto, badili na mswakiAhaha how comess
Ahahahh dah kwahy utaki kuamin 🤣Nakazia asafishe geto ilo aache kujikuna mbupu, usafi ni afya.
Wewe askari mchuzi kweli kweli.bhna ,🤣🤣
We madam ulifia wapiKuna watu ni wachafu sanaa
Mavi ya ndege sijui panya hadi dirishani.
Ahahah mswaki mm nabadil kila wikisafisha feto, badili na mswaki
Nitakutifua oho oho 🤣Wewe askari mchuzi kweli kweli.