Unasemaje umepata faids ya bilioni 18 ilhali gharama za project ni karibu trilioni kadhaa? Nani kati yangu anatangaza ujinga?Kwani reli inayeyuka leo?!..hiyo iliyopo ilijengwa miaka zaidi ya 120 iliyopita,acha kutangaza ujinga
Ukiwa was nasafiri masaa nane Mombasa-Nairobi unahitaji hivyo viti?Hiyo ya kenya imekaa vizuri
Madhara ya elimu bure🚮🚮🚮Ume address vitu viwili tofauti....
1. Umeonesha nauli kwenye maandishi (inayo tozwa kwa Royal class)
2. ukaweka picha ya daraja la tatu (ukiaminisha watu kuwa ndio Royal class)
Katafute Picha ya uhakika ya Royal Class uambatanishe kwenye hiyo nauli, ILI usipotezee watu muda kujadili kitu kisicho sahihi...
10%Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Najadiliana na bogus kumbe!!Unasemaje umepata faids ya bilioni 18 ilhali gharama za project ni karibu trilioni kadhaa? Nani kati yangu anatangaza ujinga?
Reli haiyeyuki leo wala kesho sawa, what if kutatokea ushindani mpya ukaifanya reli useless? Yanayotekea kwenye mwendokasi hayakufundishi kitu?
Ume address vitu viwili tofauti....
1. Umeonesha nauli kwenye maandishi (inayo tozwa kwa Royal class)
2. ukaweka picha ya daraja la tatu (ukiaminisha watu kuwa ndio Royal class)
Katafute Picha ya uhakika ya Royal Class uambatanishe kwenye hiyo nauli, ILI usipotezee watu muda kujadili kitu kisicho sahihi...
Is that rhe besti you can offer, una biashara ya mtaji wa trilooni 8 halafu umepata bilion 18 unarukaruka na kutangaza kuwa umepata faida 👀👀👀Najadiliana na bogus kumbe!!
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hii ndio Tanzania 🇹🇿.Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hii yetu bei gani mi nimeishia kupanda daraja la kawaida 40KIla ni mara mbili ya nauli ya kwetu 250,000
Hii seat mchongoko ikipinda kona upo chini 😆
Sijui hatuonagi aibu?Hii seat mchongoko ikipinda kona upo chini 😆