Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Ccm ni wapumbavu hapo hakuna royal..ni upumbavu mwingine kwanza viti ni vyembamba upumbavu mtupu ...nashauri wasiseme kuna royal bali waseme ni level ya kawaida kupunguza aibu za kipumbavu zisizo na msingi
 
Tunaviongozi Vichaa na wajinga sana awamu ya Wala urojo.Nauli yote hiyo ya Nini?kama laki na nusu ni kutoka dar Hadi Dodoma Kwa maana ikifika mwanza itakuwa nauli ni laki tatu na nusu ambayo ni sawa na nauli ya ndege!kiufupi huo mkweche ambao tumepigwa kuanzia bei ya ununuzi hautakuwa na manufaa Kwa wtz.
Ccm💩 nauli ilitakiwa kuwa 50000 tu dar to dodoma
 
Is that rhe besti you can offer, una biashara ya mtaji wa trilooni 8 halafu umepata bilion 18 unarukaruka na kutangaza kuwa umepata faida 👀👀👀
Bogus nani kati yangu na wewe,?
Hujawahi uza hata pipi, bogus...
 
Nchi ngumu sana hii.. aibu gani hizi aseeh,hivyo visiti utadhani eicher..
 
Ccm ni wapumbavu hapo hakuna royal..ni upumbavu mwingine kwanza viti ni vyembamba upumbavu mtupu ...nashauri wasiseme kuna royal bali waseme ni level ya kawaida kupunguza aibu za kipumbavu zisizo na msingi
Madaraka sgr kwenye premium class kuna hadi wireless charging pad,, ubaya ni kuwa tu treni yao haina speed kama hii yetu.
Hii yetu inapiga bao kwenye speed, ila. Kwenye value for money na cabin specification wakenya na sgr yao wapo poa.
 
Hilo behewa la Kenya ni mkono wa Mchina na hilo basi ni Yutong nalo ni mkono wa Mchina

Hayo mabehewa ya mchongoko ni Mkorea Kusini

Ukweli ni kwamba inapohusu interior design ya vyombo vya usafiri wa umma Mchina anajua sana

Maoni yangu
wampe kazi Mchina awadizainie behewa lenye level halisi za royal
Binafsi naamini kuna watanzania wako vizuri zaidi Kama wakiamua kutumia real East African Royalty Theme as their Decor.

Kuna member hapo juu kazungumzia kuhusu animal trophies, animal skins, etc…perfect idea!

Mabehewa hayo ya Royal yabebe theme ya makabila ya Tanganyika.
 
Behewa la royal ni moja mengije saba ni bussiness class ambayo wanakaa watu 79,
Kwa Deal ambayo Serikali iliwapa hao Wakorea, kama Serikali ingekua na Designer Waziri, wange design Kitu Quality Kwa Bei ile ile coz Behewa lenyewe ni 1 tu....!

Serikali inabidi kazi zingine kama hizi za Designing watupe sisi.
 
Wateja wa Roya sio wengi kama tunavyojiamijisha ila tuna wateja wengi wa Hali za kawaida wa Kila siku
Wateja Wataongezeka mpaka ilo Behewa Moja litakua Halitoshi...!

Mawaziri na Wabunge kila week wanachoma Mafuta ya pesa nyingi Kwa trip za Dom to Dar.
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Kachungulie siti za ma bus ya Klimanjaro Express route ya Dar-Arusha( kule pa VIP)...uone jinsi sgr ilivyotupwa mbali kwa ubora.
 
Maoni yangu ni, wafumue hizo vitambaa waweke ngozi halali kabisa ya UISO Leather products.

Siki zote leather inaipa(ga) class ya juuu popote inapowekwa.

Tena mi nninaonelea ili kunogesha waweke na vi meza na watandike ngozi za wanyama hapo chini ile kichifu na kifalme kwerikweri.

Hatutaishia hapo, ukuta upambwe kwa zile vichwa (trophies) za wanyama mbalimbali. Wanyama halisi sio sanamu maana wanyama tunao wengi tu. Halafu SgR ya Zanzibar ihakikishe Royal yake inao kasa na ikiwezekana hata papa kabisa😅😅
Waweke na taa zile zinakuaga kama vichelewa kwenye viplastiki wanauzaga machinga sana


Halafu waweke na viredio vya 10k kila mteja anaondoka na kiredio chake

Waweke na simu zenye memory card maana redio bila ya source ya muziki ni bure

Waweke na jezi za simba na yanga ukikaa kwenye siti yako unachagua moja bila ya kusahau kilo tano za nyama na kandoo ka mkaa kila siti unawasha kajiko kadogo kako unachoma


What i mean to say is there's no justifiable action to improve what is shown on the picture

You can't polish a turd 😐😐😐
 
Back
Top Bottom