Huu ndio muonekano wa David Banda (Mtoto wa Mwanamuziki Madona)

YESU KRISTO na arudi tu mapema aje aibadilishe hii dunia maana maovu na uchafu vimezidi mno.
Na atakapokuja atawanyoosha kweli kweli maana imeandikwa; "naye atawatawala kwa fimbo ya chuma".
Angoje kidogo aisee,wengine ndio tupo tunapaua tupate hata pa kujisitiri,sasa akija shughuli za ujenzi sio ndio zimeishia hapo[emoji3]
 
Unatetea usilolijua! Kumbuka mapadiri wamekuwa wakifanya nini mpaka papa wa sasa kaingilia kati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…