Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipepese nn sasa? Maisha mafupi haya, kila mtu asubiri kufa kivyake. Sijari wala nn.Nachokupendaga hupepesagi
Kwani ni dume huyu mkuu??Shauri zako
Huyo ni watu wa lile kundi lililo sababisha sodoma na gomora.Mkuu hivi ni unawakubali, unaheshimu maamuzi yao au wewe ni mmoja wao?
Angoje kidogo aisee,wengine ndio tupo tunapaua tupate hata pa kujisitiri,sasa akija shughuli za ujenzi sio ndio zimeishia hapo[emoji3]YESU KRISTO na arudi tu mapema aje aibadilishe hii dunia maana maovu na uchafu vimezidi mno.
Na atakapokuja atawanyoosha kweli kweli maana imeandikwa; "naye atawatawala kwa fimbo ya chuma".
Huyu nae vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnateseka sana eeeh? Na badoooo.Huyo ni watu wa lile kundi lililo sababisha sodoma na gomora.
Yeye ni wa kike sasa mkuu, ndo kinanishangaza !!Huyo ni watu wa lile kundi lililo sababisha sodoma na gomora.
Pigia mstari hapoKwani ni dume huyu mkuu??
Duuh mi nikajuaga ni demu bna.Wa kiume sema ndio hivyo tena amechagua kutumia mlango wa taka
Kalikuwa na ya kiume kweli kweli ila sasa dah 🥸🥸
Dah dogo alikuwa mwanaume kamili
Hahahahah kumbeeee? Weraaaaaah weraaaaaah.Duuh mi nikajuaga ni demu bna.
Na vile madem na mashoga huwaga na kaurafiki so sikua na hisia mbaya juu yake.
Kama ni dume daah ashakua manzi tayari
Unatetea usilolijua! Kumbuka mapadiri wamekuwa wakifanya nini mpaka papa wa sasa kaingilia kati!Hebu Waswahili acheni kuhitimisha msiyoyajua.
Kwanza una uthibitisho gani kama huyo Jamaa kawa Shoga?, au kwa kuwa kavaa hivyo?..huyo huenda ni ulimbukeni tu wa "Masikini akipata...".
Na hata kama amekuwa hivyo unamuingizaje Madona na kutaka kuiondoa nia yake njema ya tangu awali?...kwamba angetaka kuwa Msomi, Msanii au Mwanamichezo bora angemzuia?
Madona sio Mzungu wa kwanza wala wa mwisho kufanya hisani ya aina hiyo, wapo wengi wala hawatangazi na sio Watu Marufu kama Madona.
Ile St Jude ya Arusha inapokea Watoto wasio na uwezo wa kugharamia Masomo ambayo Wenzenu wenye uwezo na nyadhfa wanawasomesha Watoto wao Shule kama zile...sasa utoke huko wewe uanze kubeza Watu wanaosimamia ile Shule kwamba wana nia ovu?.
Sisi Watu Masikini hatujiamini kabisa, tunahisi tunaonewa tu kila wakati.
Jina lenyewe Madona.huyu Madonna shetani kabisa khaaa, huyu pepo ataisikia tu