Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Una uelewa?

Kwani Warusi sio Wazungu?
 
Mchina na mrusi msaada anakupa ila hata mkiana yeye hana time na nyie ccm ndo mnataka iyo misaada hata mkipewa misaaada mkaua watu au kununua v8 au kumpa mkuuu wa mkoa achome nyama aropoke dereva wake alikua tapeli CAG akija kuleta mahesabu mnayaponga hakuna pesa mzitumie kipumbavu afu msitake kuhojiwa china hana time na mwafrika ndo mana sasa hv limekua dampo la bidhaaa zake cheap
 
Kama tunakubaliana kuwa hatuna akili, sawa na wakorea au weupe wowote, sasa tatizo linaanzia hapo. Rasilimali zipo, akili hakuna. Yako mataifa yana bandari tu lakini wanatulisha.
 
Zimbabwe mfumo wake wa utawala haukuwa sawa.
Zimbabwe nayo ni nchi ya kuitolea mfano?
Hakuna nchi ya Africa ya kuweza kushindana na magharibi kama kweli wakichukulia jambo lao serious nasema hakuna.

Duniani ni mataifa machache sana yenye huo ubavu yanahesabika tena kwa kubebana.

Magharibi bado wameshikilia mifumo mingi sana ya kidunia toka miaka mia iliyopita.

Xi kumuambia Putin mabadiliko ya sasa haijawahi tokea sio kauli ndogo.

Tena Africa ilivyo jaza wajinga wajinga bado sana kupambana na magharibi uwe umejipanga haswa.
 
Umesoma heading ya hii thread? Urusi ni nchi ya Magharibi au umbumbumbu wako unakusumbua!!?
Na wewe tusaidie basi Urusi ametusaidia mradi gani wa kijamii ambao anatusaidia miradi gani ya kijamii?
 
Wewe jamaa mjinga sana.

Sasa unafikiri hiyo misaada ni bure??

Hiyo ni chambo ya mabeberu.

Wanapata toka kwetu zaidi ya hiyo wanayoiita misaada.

Kwanini Awamu ya tano ilipokuwa inajitahidi kuacha kuchukua fedha zao walichukia??

Umeona wapi mtu anachukia kukataliwa misaada yake.

Akili fupi kama yako huwezi elewa kuwa hiyo inayoitwa misaada sio misaada bali biashara za wakubwa.
 
Reactions: UCD
Sisi tupo hapa kwa sababu ya ujinga wetu wazungu,wachina,waarabu,warusi wana mchango mdogo sana katika hili
 
Muulize tu Urusi walimsaidia mradi gani akikujibu nitagg
Urusi imetusaidia kwenye ujuzi na vifaa katika sector ya ulinzi, usalama na Afya. Gharama zake ni kubwa sana ukilinganisha na vijisenti ulivyoripoti hapo juu vya Wamarekani.
 
Kuna shida gani ya kuanzisha uzi wako kuelezea wanachopata na ukaweka ushahidi wako?

Hadi sasaivi wewe na wenzako wote mnaobwabwaja kuwa wao wanapata zaidi sio tu hamjaweza kuweka ushahidi wenu ku support claims zenu bali hamjaweza hata kuanzisha nyuzi zenu kuelezea hayo mnayodai kwa ushahidi.
 
Umesoma heading ya hii thread? Urusi ni nchi ya Magharibi au umbumbumbu wako unakusumbua!!?
We Kunguni acha ujuaji
 

Attachments

  • Screenshot_20240919_200827_Chrome.jpg
    124 KB · Views: 2
Ukweli mchungu kwamba kulili kulishwa na mwanaume mwingine ni kutangaza, ulemavu wa kudumu.
 
Uwezo huo wa kujua yote hayo huna.

Hivyo tunakuelemisha tu kupitia huu uzi wako wa kijinga iwe rahisi kukufikia.
 
Wewe ni kilaza kama walivyo vilaza wengine na ndio mmejaza Africa, Unategemea nini hapo ? Unajisifia umasikini kwenye nchi ya Ardhi tajiri , nyie wajinga ndio mnaturudisha Nyuma sana .
Achana na unaowaita wajinga.Ni vema sasa wewe ulete hayo maendeleo.
 
Urusi imetusaidia kwenye ujuzi na vifaa katika sector ya ulinzi, usalama na Afya. Gharama zake ni kubwa sana ukilinganisha na vijisenti ulivyoripoti hapo juu vya Wamarekani.
Kwa kifupi Urusi hakuna alichokusaidia kinachogusa maisha ya wananchi zaidi ya kukuuzia silaha zake tena ambazo hazipo kwenye matumizi yake. Na anakuuzia unalipa hela!

Kwa hiyo hakuna chochote cha maana ambacho Urusi anawafanyia wananchi wa Tanzania.
 
Uwezo huo wa kujua yote hayo huna.

Hivyo tunakuelemisha tu kupitia huu uzi wako wa kijinga iwe rahisi kukufikia.
Mjinga ni yule anayedai vitu bila ushahidi. Na hapa ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…