Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya



Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Makamu hata huwa simwelewi! Huyu na mkoa wake masikini Kigoma atamaliza umakamu hajafanya lolote! Mkoa full majenereta na Wachina wakimaliza kujenga viwanda vya kuzalisha cement na nondo Bandarini ya kigoma ndo itakufa kabisa! Juzi kapita hapo Bandarini akielekea hifadhi ya Gome yaani hata kuongea na wafanyakazi wa Bandarini hawezi!
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Unadhihirisha wivu wa Sokwe kule Gombe.
 
🤣🤣🤣🤣 Ila hata mimi kweli huwa sioni mantiki ya hili , na akirudi watakuepo pia kumpokea 🤣🤣🤣
Miafrika ndo iko hivo kazi kulialia na kujipendekeza! Hapo kapitia Zanzibar wameteta jinsi ya kwenda kukopa ili wagawane vizuri! Wadanganyika na wabunge wao hawapiga viti na kuchekelea tu!
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Hama Nchi punda wewe! Hiyo chuki yako kwa Rais itakuua
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Siyo kila kitu kukosoa tu. Tatizo ni nini kwa viongozi kumuaga Mhe. Rais?
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Kwa taarifa yako hata wewe leo hii ukipewa urais utafanya hivyohivyo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Matumizi mabaya ya fedha za umma
 
It’s a different culture

Ndio maana hata mgeni akina home huwa tunamsindikiza wakati anaondoka

Pia member wa family akisafiri we do the
Nyote nyumba nzima mpaka mfanyakazi ?

Na nyote mnaacha kazi zenu mfano mlisha mifugo badala ya kuwapa mifugo maji na chakula mnaitana kumsindikiza mgeni ?

Hata kama ni utamaduni kuna tamaduni nyingine zinabadilika kutokana na wakati ama sivyo kuna watu wangekuwa bado wanazikwa na wafalme...
 
Back
Top Bottom