Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #41
Wewe ni muongo.Kwa machache sana mlimkosea,kwenye mengi ya hovyo yake mlimpamba!!
Mimi nimemkosoa sana Magufuli. Mara nyingi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni muongo.Kwa machache sana mlimkosea,kwenye mengi ya hovyo yake mlimpamba!!
Zipo eneo la malisho lazima mbuzi wapite nazoPesa za umma zinachezewa sn
Hapo wameaganiana wapi Dom au wameagiana Dar
Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.
Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.
Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.
Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.
Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.
Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.
Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.
Sisi bado sana aisee!
Ndio maana watoto wao wanarithi vyeo; hata kama hawana akili!"Tuna urais wa kifalme" - Tundu Lissu
Poa mshamba mwenzetuHakuna cha utamaduni wala nini.
Ni ushamba tu.
unahamisha magoli. Joe Bidden yupo ndani ya nchi huyo hakuna haja ya zulia jekundu. Hayo mengine nakuachia mwenyeweKuna tofauti kubwa sana
- Huku kwetu angetandikiwa zuria jekundu lakini kwao hawana huo muda
- Huku kwetu uwanja wa ndege ungefungwa, lakini kwano nimeona ndege kwa mbali ina takeoff
- Huku kwetu tungeona mabunduki ya kila aina kumlinda kiongozi lakini wao wamevaa suti as if wote bu waheshimiwa
Umenikumbusha utotoni....toka kwetu....😀😀😀😀Umekuja kufanya nini kwenye uzi wangu? Toka….
Daah...! Hii nchi kweli ni kama tumerogwa na imebaki hii tu inafanya haya mauchafu. Yaani kama hivyo kwenda kumuaga na kumpokea tayari kuna fungu la posho la kumpokea rais.Posho....
Labda kama mimi mgeni humu ila wengi tunamjua Nyani wa Kikwete na wa Magufuli ni mbingu na ardhiWewe ni muongo.
Mimi nimemkosoa sana Magufuli. Mara nyingi tu.
Wewe ni muongo. Na mzushi pia.Labda kama mimi mgeni humu ila wengi tunamjua Nyani wa Kikwete na wa Magufuli ni mbingu na ardhi