Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Siyo kila kitu kukosoa tu. Tatizo ni nini kwa viongozi kumuaga Mhe. Rais?
Tatizo hapa ni Kodi za wananchi zinavotumika vibaya:
✓ Kwanza sasa hivi mikutano mingi haifanyiki uso kwa uso. Hii covid-19 imetufundisha jinsi ya kufanya mikutano ya kutokukutana;
✓ Matumizi mabaya ya rasilimali watu, fedha na muda. Hatuoni umuhimu viongozi wote hawa kuwepo pale airport kumwaga Rais akiondoka.
Rais kabla ya kuondoka angeweza kuwabrief viongozi wenzake na kuwaagiza yale anayotaka yafanyike at her absence. Siyo lazima kwenda kupanga foleni ya kuagana; ndo mwingine anasema huu ni ushamba na ujuha wa viongozi wetu. Bado watu wanaofanya mambo kimazoea
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Ukisoma masuala ya itifaki utaelewa kinachofanyika na ni akina nani wanatakiwa kuwa hapo anapoondoka Rais au anaporudi.

Anyway anzisha uzi wake nitakuelimisha.
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Huo muendelezo wa hayo ndiyo unaomfanya aendelee kukaa madarakani ..... akiwalegezea, wanamfyatua!!
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Kwani jiwe alikuwaje?....mbona hukusema Nchi limeoza majitu yaliyomo mamlakani hayawa uwezo wakufikiri zaidi yakua udu watu
 
Kweli huu ni ushamba kabisa na ni mwendelezo wa ulimbukeni aliyouacha dikteta John Pombe Joseph Magufuli.

Hawa watu hawaamini kama kweli ni marais na hata huyu hiyo miaka 10 wanayomfagilia atawale sidhani kama huyu Mungu wetu mwenye wivu ataruhusu atawale kwa sababu ni yale yale ya kuabudu sanamu badala ya Mungu wa kweli.
 
Zamani baba akienda masomoni ulaya usiku kunakuwa na kikao cha familia.

Zamani Huko vijijini pale kunapotokea mzee anaenda dsm ndo wanaitwa mpaka wazee wa kijiji kupeana usia.
 
Ushamba huu alianza yule dikteta uchwara,alipoteza muda mwingi kukusanya viongozi wote wa wa juu wa Serikali kila kwenye shughuli ndogo tu ambazo hazikuhitaji jumuiko kama hilo.

Kabla hajaingia madarakani shughuli kama za kuwaapisha viongozi wa ngazi mbali mbali tulikuwa tunaziona tu kwenye taarifa za habari na kusoma kwenye magazeti lakini Mhutu alikuwa anasimamisha hata matangazo ya vyombo vyote vya habari ili aonekane yeye nchi nzima, huu ni ushamba.
Vest acha ugomvi na marehemu,magu ni mtume mwingine alichokifanya nchi hii itasubiri sana kabla haijapata mrithi sahihi.
 
🤣🤣🤣 Umenikumbusha enzi za East African Railways wakati wa train kuondoka Kigoma, mji mzima unakusanyika kituo cha reli .... Kusindikiza!!!.

🧐🧐🤨 Si EAR wakaja na ubunifu wa ticket iliyoitwa "Sindikiza" ...Kila aliyekwenda kusindikiza alitozwa mapesa, kutunisha mifuko ya reli.🤔🤔

TAA waanze kuwatoza ada ya kusindikiza, shs 2000 kwa kila kigogo kwa wingi huu wa safari za Hangaya.....Alhamdullialah.😉
 
Ushamba huu alianza yule dikteta uchwara,alipoteza muda mwingi kukusanya viongozi wote wa wa juu wa Serikali kila kwenye shughuli ndogo tu ambazo hazikuhitaji jumuiko kama hilo.

Kabla hajaingia madarakani shughuli kama za kuwaapisha viongozi wa ngazi mbali mbali tulikuwa tunaziona tu kwenye taarifa za habari na kusoma kwenye magazeti lakini Mhutu alikuwa anasimamisha hata matangazo ya vyombo vyote vya habari ili aonekane yeye nchi nzima, huu ni ushamba.

Aisee sisi Watanzania tuna shida gani sijui? Mleta mada kasema alidhani huyu wa sasa ataachana Na ushamba wa waliopita/aliepita lakin mwenzetu sijui huko michenzani elimu mlipewa ya aina gani? Unaleta mada ya asie kuwepo, kosa la nyuma alifanyi kosa la leo kuwa sahihi. Tujifunze
 
Hazina maana wala umuhimu wowote ni kupoteza pesa na muda bure kila mgeni akija watu wanakata viuno kule ndio maisha yao
Za kienyeji,wanaochezaga kule terminal one kumuaga au kumkaribisha kiongozi
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Labda anatuaga watanzania. Maana kumuaga CDF na IGP siyo kawaida.
 
Ushamba huu alianza yule dikteta uchwara,alipoteza muda mwingi kukusanya viongozi wote wa wa juu wa Serikali kila kwenye shughuli ndogo tu ambazo hazikuhitaji jumuiko kama hilo.

Kabla hajaingia madarakani shughuli kama za kuwaapisha viongozi wa ngazi mbali mbali tulikuwa tunaziona tu kwenye taarifa za habari na kusoma kwenye magazeti lakini Mhutu alikuwa anasimamisha hata matangazo ya vyombo vyote vya habari ili aonekane yeye nchi nzima, huu ni ushamba.
Huyo Mh Kuna kitu alikufanya si bure, hapa anaongelewa Samia jitu inakurupuna na hayati. Magufuli anahusikaje hapa?
 
Sijui bhana labda tunatofautiana uelewa,kwa uelewa wangu nchi sio kibandaumiza kwamba ukiwa kama mkuu wa nchi usafiri bila kuketi na wasaidizi wako wote wa sekta nyeti za nchi na kuwaachia majukumu.

Pia familia bora inapotokea mkuu wa familia mf.baba au mama anasafiri safari ya mbali lazima akae kikao japo kidogo na atakaekaimu uendeshaji wa familia na ikitokea nafasi ya kumsindikiza mpaka kituo cha kupandia usafiri sio dhambi kwa desturi zetu sisi wasukuma na pengine watanzania wote

Kumsindikiza kwa gharama za nani? Au ni kwa hizi hizi tozo la shuruti?
 
Back
Top Bottom