Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyo Mh Kuna kitu alikufanya si bure, hapa anaongelewa Samia jitu inakurupuna na hayati. Magufuli anahusikaje hapa?
Jifunze kuvumilia ukweli, hii tabia ilisimikwa mizizi kipindi cha dhalimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mh Kuna kitu alikufanya si bure, hapa anaongelewa Samia jitu inakurupuna na hayati. Magufuli anahusikaje hapa?
Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.
Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.
Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.
Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.
Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.
Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.
Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.
Sisi bado sana aisee!
Ipi bora, kupanga fokeni mahakamani upate posho shilingi 5,000/= kwa siku za mabeberu, au umsindikize Mama yako safari?
Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.
Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.
Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.
Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.
Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.
Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.
Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.
Sisi bado sana aisee!
Ungetuwekea na picha za Marais wa nchi zingine wanaaganaje?kama Kenya, Rwanda, marekani, Korea nkMakamu hata huwa simwelewi! Huyu na mkoa wake masikini Kigoma atamaliza umakamu hajafanya lolote! Mkoa full majenereta na Wachina wakimaliza kujenga viwanda vya kuzalisha cement na nondo Bandarini ya kigoma ndo itakufa kabisa! Juzi kapita hapo Bandarini akielekea hifadhi ya Gome yaani hata kuongea na wafanyakazi wa Bandarini hawezi!
I’ll knock you the fcuk out…Mzee John Aloyce Maganga, hiyo ni sehemu ya kazi yao. Polisi na TISS, kamata hii mbuzi kwa kudhihaki viongozi. Namba yake ninayo pia kama mkihitaji.
Ngoja nikakushtaki Central Police kwa kudhalilisha viongozi wakuu wa Serikali. Jina lako na namba ya simu ninavyo.I’ll knock you the fcuk out…
umeelewa nilichoandika!?Kumsindikiza kwa gharama za nani? Au ni kwa hizi hizi tozo la shuruti?
Ungekaa na uzi wako nyumbani kwako, hadharani umeleta wa nini?.Umekuja kufanya nini kwenye uzi wangu? Toka….
You actually think that’s my real phone number and my real name?Ngoja nikakushtaki Polisi kwa kudhalilisha viongozi wakuu wa Serikali. Jina lako na namba ya simu ninavyo.
Naam kuketi na kuachiana majukumu sio kupanga mstari na kuagana na kupungiana mikono...., moja lina tija na halina gharama la pili huenda ikiwa ni matumizi mabovu ya muda au pesa pia kama hao watasema walikuwa kwenye majukumu ya kiofisiSijui bhana labda tunatofautiana uelewa,kwa uelewa wangu nchi sio kibandaumiza kwamba ukiwa kama mkuu wa nchi usafiri bila kuketi na wasaidizi wako wote wa sekta nyeti za nchi na kuwaachia majukumu.
Kusindikizana hata kama kila mtu anatumia gari lake na gharama zake huenda hio msululu na hiyo nyomi ikawa kero na usumbufu wa watu wengine hapo waliopo kwenye shughuli zao...Pia familia bora inapotokea mkuu wa familia mf.baba au mama anasafiri safari ya mbali lazima akae kikao japo kidogo na atakaekaimu uendeshaji wa familia na ikitokea nafasi ya kumsindikiza mpaka kituo cha kupandia usafiri sio dhambi kwa desturi zetu sisi wasukuma na pengine watanzania wote
Just wait and see. Shit's about to hit the fan, fag boy.You actually think that’s my real phone number and my real name?
You are dumber than you look 🤣🤣🤣
umeelewa nilichoandika!?
Posho wakati wa kumsindikiza na wakati wa kurudi ili wabaki hambo wasiingiwe na tamaa
Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.
Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.
Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.
Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.
Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.
Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.
Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.
Sisi bado sana aisee!
Faggot 🖕🖕Just wait and see. Shit's about to hit the fan, fag boy.
Ukiondoa mkuu wa Mkoa, wengi hapo Vituo vyao vya kazi ni dodoma (Makao makuu). DSM wamekuja kulingana na urefu wa kamba zao(perdiem).
watasaidia mzunguko wa hela kurudi mtaani.Ukiondoa mkuu wa Mkoa, wengi hapo Vituo vyao vya kazi ni dodoma (Makao makuu). DSM wamekuja kulingana na urefu wa kamba zao(perdiem).
Bado serikali ni ile ile (mama alikuwa makamu wa rais) kwa hiyo usitegemee mabadilikoUshamba huu alianza yule dikteta uchwara,alipoteza muda mwingi kukusanya viongozi wote wa wa juu wa Serikali kila kwenye shughuli ndogo tu ambazo hazikuhitaji jumuiko kama hilo.
Kabla hajaingia madarakani shughuli kama za kuwaapisha viongozi wa ngazi mbali mbali tulikuwa tunaziona tu kwenye taarifa za habari na kusoma kwenye magazeti lakini Mhutu alikuwa anasimamisha hata matangazo ya vyombo vyote vya habari ili aonekane yeye nchi nzima, huu ni ushamba.