Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Huyo Mh Kuna kitu alikufanya si bure, hapa anaongelewa Samia jitu inakurupuna na hayati. Magufuli anahusikaje hapa?

Jifunze kuvumilia ukweli, hii tabia ilisimikwa mizizi kipindi cha dhalimu.
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Mzee John Aloyce Maganga, hiyo ni sehemu ya kazi yao. Polisi na TISS, kamata hii mbuzi kwa kudhihaki viongozi. Namba yake ninayo pia kama mkihitaji.
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Ipi bora, kupanga fokeni mahakamani upate posho shilingi 5,000/= kwa siku za mabeberu, au umsindikize Mama yako safari?
 
Makamu hata huwa simwelewi! Huyu na mkoa wake masikini Kigoma atamaliza umakamu hajafanya lolote! Mkoa full majenereta na Wachina wakimaliza kujenga viwanda vya kuzalisha cement na nondo Bandarini ya kigoma ndo itakufa kabisa! Juzi kapita hapo Bandarini akielekea hifadhi ya Gome yaani hata kuongea na wafanyakazi wa Bandarini hawezi!
Ungetuwekea na picha za Marais wa nchi zingine wanaaganaje?kama Kenya, Rwanda, marekani, Korea nk
 
Mzee John Aloyce Maganga, hiyo ni sehemu ya kazi yao. Polisi na TISS, kamata hii mbuzi kwa kudhihaki viongozi. Namba yake ninayo pia kama mkihitaji.
I’ll knock you the fcuk out…
 
Ngoja nikakushtaki Polisi kwa kudhalilisha viongozi wakuu wa Serikali. Jina lako na namba ya simu ninavyo.
You actually think that’s my real phone number and my real name?

You are dumber than you look 🤣🤣🤣
 
Sijui bhana labda tunatofautiana uelewa,kwa uelewa wangu nchi sio kibandaumiza kwamba ukiwa kama mkuu wa nchi usafiri bila kuketi na wasaidizi wako wote wa sekta nyeti za nchi na kuwaachia majukumu.
Naam kuketi na kuachiana majukumu sio kupanga mstari na kuagana na kupungiana mikono...., moja lina tija na halina gharama la pili huenda ikiwa ni matumizi mabovu ya muda au pesa pia kama hao watasema walikuwa kwenye majukumu ya kiofisi
Pia familia bora inapotokea mkuu wa familia mf.baba au mama anasafiri safari ya mbali lazima akae kikao japo kidogo na atakaekaimu uendeshaji wa familia na ikitokea nafasi ya kumsindikiza mpaka kituo cha kupandia usafiri sio dhambi kwa desturi zetu sisi wasukuma na pengine watanzania wote
Kusindikizana hata kama kila mtu anatumia gari lake na gharama zake huenda hio msululu na hiyo nyomi ikawa kero na usumbufu wa watu wengine hapo waliopo kwenye shughuli zao...

Hii issue huenda isiwe kubwa kiasi hicho ila na haka kakiwa ka-utamaduni tunaweza mwisho wa mwaka tukakungudua kwamba katika miezi 12 mwezi mzima ulitumika kuagana na kupokeana airport ukizingatia hizi safari ni kila kukicha....
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Posho wakati wa kumsindikiza na wakati wa kurudi ili wabaki hambo wasiingiwe na tamaa
 
Ukiondoa mkuu wa Mkoa, wengi hapo Vituo vyao vya kazi ni dodoma (Makao makuu). DSM wamekuja kulingana na urefu wa kamba zao(perdiem).

Mkuu hivi unafahamu huyu mama ameondoka nchini kupitia wapi?
Kwa uelewa wangu aliondoka nchini kupitia uwanja wa ndege wa Zanzibar.
Sasa unaposema dodoma sijui unamaanisha nini
 
Ushamba huu alianza yule dikteta uchwara,alipoteza muda mwingi kukusanya viongozi wote wa wa juu wa Serikali kila kwenye shughuli ndogo tu ambazo hazikuhitaji jumuiko kama hilo.

Kabla hajaingia madarakani shughuli kama za kuwaapisha viongozi wa ngazi mbali mbali tulikuwa tunaziona tu kwenye taarifa za habari na kusoma kwenye magazeti lakini Mhutu alikuwa anasimamisha hata matangazo ya vyombo vyote vya habari ili aonekane yeye nchi nzima, huu ni ushamba.
Bado serikali ni ile ile (mama alikuwa makamu wa rais) kwa hiyo usitegemee mabadiliko
 
Back
Top Bottom