Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Hapo ana kosa gani, katumia mikono kugusa sehemu yake ya chini kwa mbele.
 
Mbona wewe saa ya kufanya mapenzi huwa unavua nguo zote na Basata hawaangaiki na wewe, tena unabeba mimba na kutembea nayo hadharani?
 
Aliyekwambia dhambi ya kuimba waislam wameikubali ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…