Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

Screen Shot 2021-11-02 at 11.54.29.png
Screen Shot 2021-11-02 at 11.50.56.png



Screen Shot 2021-11-02 at 10.51.54.png
 
Aliekutuma kakuingiza chaka dogo.. umeandika ujinga mtupu ambae hata yeye aliekutuma asingeweza kuja kuuandika hapa. Pole sana.
Hivi wewe kuandika kama nilichoandika huwa unatumwa? kwa akili yako hiyo editing na hayo ma fonts yaliyochanganywa changywa unaamini ni edition ya THE SCOTSMAN NEWSPAPER YA TAREHE 1 NOVEMBER ??

sasa kamuambie aliyekutuma kwamba siu nyingine aki edit a screen shot gazeti husika halafu aende website za kuulizia what is this font akiweka tu ile picha anapat jibu ni fonts gani zilizotumika ili aki edit fonts ziendane
 
Aliekutuma kakuingiza chaka dogo.. umeandika ujinga mtupu ambae hata yeye aliekutuma asingeweza kuja kuuandika hapa. Pole sana.
Duuh, wewe zimo kweli?

Gazeti edited liko umewekewa hapo kama kielelezo cha maelezo yake. Ina maana hujaliona na kuona makosa ya kisarufi ambayo wenye gazeti wenyewe hawawezi kufanya?

Kwani kila kitu lazima upinge tu? So mwisho wa siku utajipinga na kujikataa mwenyewe...?
 
Hivi wewe kuandika kama nilichoandika huwa unatumwa? kwa akili yako hiyo editing na hayo ma fonts yaliyochanganywa changywa unaamini ni edition ya THE SCOTSMAN NEWSPAPER YA TAREHE 1 NOVEMBER ??

sasa kamuambie aliyekutuma kwamba siu nyingine aki edit a screen shot gazeti husika halafu aende website za kuulizia whatisthisfont akiweka tu ile picha anapat jibu ni fonts gani zilizotumika ili aki edit fonts ziendane
Ni kweli hata haya maneno ya kina Mbowe, Lisu na genge lao kudai kuwa Lowasa ni fisadi, ilikuwa ni edit yetu pia. Wao hawakuwahi kutamka maneno hayo ndio maana walimpigia deki barabara 2015.

images (7).jpeg
 
Duuh, wewe zimo kweli?

Gazeti edited liko umewekewa hapo kama kielelezo cha maelezo yake. Ina maana hujaliona na kuona makosa ya kisarufi ambayo wenye gazeti wenyewe hawawezi kufanya?

Kwani kila kitu lazima upinge tu? So mwisho wa siku utajipinga na kujikataa mwenyewe...?
Hao vijana wapo pale Lumumba kwa makusudi kuhakikisha kuwa hakuna uzi unaanzishwa unao kosoa mambo ya ccm.

Wanachafua nyuzi za watu kwa makusudi.

Hata ukweli wanaufanya uwe uongo.
 
Hao ni uvccm wapo kazini ili kutukuza na kuabudu.

Wakati walishasema kuwa hawana mpango na mabeberu sasa hata wanayaramba magazeti ya mabeberu.
Sikulaumu kwa vile najua ww upo katika kibarua chako cha kupiga kiwi viatu vya mtoto wa Mbowe. Endelea kulamba viatu ili watoto waende msalani mdogo wang.

images (38).jpeg
 
Sikulaumu kwa vile najua ww upo katika kibarua chako cha kupiga kiwi viatu vya mtoto wa Mbowe. Endelea kulamba viatu ili watoto waende msalani mdogo wang.

View attachment 1995626
Pole sana dogo usijidanganye kuwa hatukujui kazi yako hapo lumumba.

Utashika virungu hapo getini hadi unaenda kwenu mwamashimba
FB_IMG_1555773311437.jpg
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump

View attachment 1995586
CCM wamezoea kuiba mkuu
 
Back
Top Bottom