Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

🤡🤡🤡
20211103_120038_temp.jpg
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640


View attachment 1995586
Uko sahihi sana Boss! Tumekuwa na mtindo wa kutafuta sifa za kijinga. Hata akina Msigwa sasa wanaleta rais akisema yes! Yes! Yes! mbele ya Prince Charles. What for? Kwani rais amekwenda kupiga picha? Yule mama wa Barbados ndo kato hotuba ya kiutawala na viongozi wengine wameelewa. Sisi bado rais wetu anahangikia kujitambulisha kwa picha.
 
Umeandika nini mkuu? mbona una hasira sana post ya kwanza uli ni diss ukasema ni prove si umeona PROOF? gazeti la 2nd march limekuwa concocted mkajifanya ni la jana first of november ambalo nalo nimepost, sasa makasiriko ya nini?
KUHUSU MNYIKA KUTOA BANDO MIMI SIJUI AKINIPA KAZI NITAFANYA NA KAMA NI WEWE UNAFANYA HIZI KAZI ZA KU EDIT MAKOROKOCHO NIPE DEAL NITA EDIT KITAALAMU SANA
Mhurumie huyu mtu Mr Dudumizi nguo zimemvuka lakini bado hataki kuchutama. Nadhani hayuko sawa upstairs, maana ni aibu kuupinga ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640


View attachment 1995586
Maajabu. "system" yote imechanganyikiwa.
 
Duuh, wewe zimo kweli?

Gazeti edited liko umewekewa hapo kama kielelezo cha maelezo yake. Ina maana hujaliona na kuona makosa ya kisarufi ambayo wenye gazeti wenyewe hawawezi kufanya?

Kwani kila kitu lazima upinge tu? So mwisho wa siku utajipinga na kujikataa mwenyewe...?
Yawezekana anatumia nokia ya kitochi haionyeshi picha.
 
Mtu aliekuibia vitu vyako vya ndani, ukimfata na kumuomba akurudishie hata cheti chako cha kuzaliwa au cha shule ambavyo ni muhimu zaidi katika maisha yako. Yule aliekuibia akisikiliza ombi lako na kukurudishia vile vyeti vyako alichokuibia, hapo kuna ubaya? Wazungu wametuibia toka enzi za ukoloni zaidi ya miaka 300 iliyopita. Sasa leo tukienda kuwaomba watupe kidogo kati ya vingi walivyotuibia kuna makosa?
Unaibiwaje kibwege weye umetuliza kiuno tu?Halafu waliibiwa mababu.Kwa hiyo ni kama unalazimisha kurithishwa baiskeli ya babu yako.
 
Back
Top Bottom