Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640

neneleakes-happy.gif


Chawa huwa hawana aibu.
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640


View attachment 1995586
Na wakurungwa wametoa pesa hapo wakapigwa. Bongo upuuzi na upunguani wa social economic development ni Mkubwa saaaaanaaa,
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640


View attachment 1995586
Nawaonaga Wana CCM kama wendawazimu Fulani hivi, I am sorry to say
 
Atakuwa aliyeedit hivyo yule Jasusi wa Scotland aliyekimbia nchi.
 
Huo unaitwa ulimbukeni wa kiwango cha SGR, ili aonekane kwamba ana hit headlines kwenye international news media, siyo?
 
Huo unaitwa ulimbukeni wa kiwango cha SGR, ili aonekane kwamba ana hit headlines kwenye international news media, siyo?
Nitasikitika sana kama hawa watu wanalipwa kwa kazi duni hivyooo, yaani nilivyofulia si wangenipa hiyo kazi mimi ya ku forge hayo madude? accuracy yangu ni 90%
 
Nitasikitika sna kama hawa watu wanalipwa kwa kazi duni hivyooo, yaani nilivyofulia si wangenipa hiyo kazi mimi ya ku forge hayo madude? accuracy yangu ni 90%
Huoni leo kwenye hotuba yake kasema geothermal na solar power generation imetoka 43% Hadi 70%
Aisee Hadi aibu
Sijui wapi huko, au mama sio raisi wa tanzania
Bado najiuliza ni kwamba hajui chochote, hivyo akiandikiwa tu anaamini?
 
Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana

Sasa kubwa zaidi wamechukua gazeti kubwa la Scotland liitwalo the Scotsman la March 1 2021 waka-edit na kupachika maneno yao yenye english shallow na fonts tofauti zinazotumika na kuweka habari yao wakijifanya ni la 1/11/2021

Ni kina nani hawa jamani toba, mbona hii nchi ina ushamba sana? Ukiangalia juu kulia utaona habari ya mskochi aitwaye Ian st John mchezaji wa zamani wa Liverpool aliyefariki mwezi wa pili mwishoni, kuna habari ya interview ya Andy Murray ya mwezi wa tatu, kuna habari za matumaini kwamba lockdown inakaribia kuisha

Sasa siku nyingine mki edit tafuteni website za kuulizia wahat font is this,chukua kipande cha gazeti linganisha fonts basi na english inyooke

***nitasikitika sana kama kuna watu watakuwa wanalipwa kwa kazi hizi za makorokocho nilidhani huu ujinga uliishia awamu ya tano hadi TBC wakatangaza ile habari ya trump


*UPDATED, GAZETI LA SCOTSMAN MARCH MWAKA HUU WALILO EDIT, NA GAZETI HALISI LA JANA NOVEMBER MOJA

View attachment 1995639View attachment 1995640


View attachment 1995586
CCM ilishaishiwa hawana tena la maana la kuiambia dunia na watanzania zaidi ya kufanya uchimvi
 
Nitasikitika sna kama hawa watu wanalipwa kwa kazi duni hivyooo, yaani nilivyofulia si wangenipa hiyo kazi mimi ya ku forge hayo madude? accuracy yangu ni 90%
Kwani Mnyika kakudhulumu bando lako? Mbona mwenzio mmawia anaandikaga ujinga humu na bado anarushiwa bando na katibu mkuu. Jaribu kuongeza tena chumvi kidogo huenda na ww utafikiriwa.
 
Back
Top Bottom