Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
Wewe ndio umeongea kitu cha maana. Hao wanachanganya chekelea na kutetemeka miguu na kushindwa kutembea vizuri. Ugonjwa huo unahusisha ubongo na misuli sio nyegeHapana, sio nyege ni matatizo ya mfumo wa fahamu au misuli.
Kwa maeneo ya shuleni mi naweza kusema ku-shake kwa miguu ni mwili unajaribu kupunguza/kuachia stress(stress-reliever) ambazo zimekusanyika mwilini.
Sioni uhusiano na nyege kweny hili tatizo.
Wakati ule tukiwa shuleni, nakumbuka Wanafunzi wa Loleza walikuwa wanakuja kuja kwaajili ya disco shuleni kwetu.
Hata kama ulikuwa na Upwiru debe 1 basi kitendo cha kuwaona tu ilitosha kuuondoa huo Upwiru.
Ilifanya hata Ufauru uongezeke kwa kucheza nao disco.
Those were days [emoji847]
Actually hii comment ndo imenikumbusha mbali
Sahihi Mkuu, ile hali ya kuona sketi tu ilikuwa Tiba tosha kwetu miaka ile 🤗Watu wanahisi upwiru kuuondoa kwa wanafunzi mpk wadinywe [emoji23][emoji23]kuna ile hali tu ya kugusana, movement na ile kuona jinsia nyingine unajikuta umepata relief mpaka hali iyo irudi tena likizo ishafika [emoji1][emoji1]
Sahihi Mkuu, ile hali ya kuona sketi tu ilikuwa Tiba tosha kwetu miaka ile [emoji847]
Nilikuwa sijaelewaga hii kumbe[emoji23][emoji23][emoji23],si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
mambo ni mengiNilikuwa sijaelewaga hii kumbe[emoji23][emoji23][emoji23],
Usinambie nawe ulikuwa mdau wa kwenda Kucheza disco pale Mzumbe mkitokea Kilakala Girls 🤪Ewaaaa
ashukuriwe Mungu sijasomaga hukoUsinambie nawe ulikuwa mdau wa kwenda Kucheza disco pale Mzumbe mkitokea Kilakala Girls 🤪
Those were days 🤗
Hahaha........wewe itakuwa ulisoma Mixer, mnaonana kila siku 😅ashukuriwe Mungu sijasomaga huko
Unajuaje kama mtaani hawapati? Wanapata ila sababu ni mmoja kwa hiyo inakuwa sio epidemic... wadada wakikaa wengi sehemu moja na hivyo kushare matatizo ya aina moja ni rahisi dalili za mgonjwa WA kwanza zikawa copied na wengine wanaofuata, hence mass hysteriaMbona zinawapata tu watoto wa shule?
Huku mitaani kuna wasichana kibao wanaojistiri vizuri lakini mbona hili tatizo hawana?
Hapa ndo kwenye jibu la msingi sasa kwingine uswahiliHapana, sio nyege ni matatizo ya mfumo wa fahamu au misuli.
Kwa maeneo ya shuleni mi naweza kusema ku-shake kwa miguu ni mwili unajaribu kupunguza/kuachia stress(stress-reliever) ambazo zimekusanyika mwilini.
Sioni uhusiano na nyege kweny hili tatizo.