Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Hasira baada ya hasara

Usichokijua hapo mmepangwa kama 10 hivi!
 
Another looser in twn ....
 
chips kala, bodaboda kapanda...kumla hujamla. Nani kapata hasara hapo?
 
Ukiachwa na unayempenda lazima utahangaika tuπŸ™Œ
 
Harmonize kaonga RANGE ROVER kazinguliwa lkn yupo pale anakohoa tu. Wewe chips TU blah blah nyiingi.
 
Safi sana mkuu, huu mwaka tunauacha usimp. Hongera kwa Natafuta Ajira Xi Jinping kwa kutusanua.
Lets us Make Men Great Again

Mods waliondoa access ya mimi kucomment au kuandika uzi kama wiki sasa eti wanasema maneno yangu makali, leo ndio wameanza kunipa access ya kuweza kucomment

Hatutaacha kuwasanua wanetu wakae kitaalamu na hawa viumbe matapeli

Cc Payge
 
Punguza majibu makali tutoto tudogo tudogo kama hivyo vinapenda kusifiwa na kupewa majibu mazuri halafu jifunze kumlenga mlengwa Moja kwa Moja maswala ya kukwambia ww sio baba, mtoto ama mke hayalet mantiki vijamaa vijanja hiyo code walikuwa wanaifungua kirahisi kwakuwa mwanamke ni mtu wa kupangwa mrudie kwa njia hii .... Mwambie unaumwa aje kwako jiuguze uguze
 
Ujasiri upo wapi hapo wakati umeshapigwa vihela vya viepe, vioda (soda), muda, mafuta ya bodaboda n.k

Hauoni kwamba muda wote alikugeuza bwege mtozeni?
Halafu umeandika sentensi ndeefu, yeye kakujibi "Ok"
 
Hapo ujasiri umeonyesha wewe,yaan unahudumia kahaba mkuu
 
We jamaa umetisha khaaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mpaka amepoa ...
Alete simu nimjibie bwana mi kujibizana napenda
 
We jamaa umetisha khaaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mpaka amepoa ...
Alete simu nimjibie bwana mi kujibizana napenda
Umekubali kuwa manzi kakalishwaee?
Maana kwanza lilianza likiwa juu kinoma but dogo kashusha one hit kamenyamaza na kupoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…