Huu uongo kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulianzishwa na nani?

Huu uongo kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulianzishwa na nani?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Nyongo ya mamba ni nyongo kama nyongo zingine. Hizi habari kwamba ni sumu zilitoka wapi?
 
Sasa unakataa vipi ili hali hata ww hujathibitisha. Au ww umethibitisha vipi kuwa si sumu.
Ile ni nyongo kama nyongo zingine na research zinasema hivyo, sihitaji kuionja. Wewe unauhakika gani kuwa ni sumu, umewahi onja ikakuua?
 
Maneno matupu hayaaminiki.nenda kaonje halafu urudi hapa kushuhudia hilo
Hivi kwanini watz wengi akili zao zinakuwaga kama watoto wadogo? huwa wanaamini vitu vya kushangaza sana!!.
 
Ile ni nyongo kama nyongo zingine na research zinasema hivyo, sihitaji kuionja. Wewe unauhakika gani kuwa ni sumu, umewahi onja ikakuua?
Mimi sisemi ni sumu na wala sikatai kuwa ni sumu.
Nijuacho nyongo zote zina kemikali mahususi kuozesha chakula alacho kiumbe.
 
Mimi sisemi ni sumu na wala sikatai kuwa ni sumu.
Nijuacho nyongo zote zina kemikali mahususi kuozesha chakula alacho kiumbe.
Kazi ya nyongo siyo kuozesha chakula, pengine hili ndilo linafanya watu waamini ni sumu. Kazi ya nyongo ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta kutoka kwenye njia ya chakula kwenda kwenye damu.
 
Kazi ya nyongo siyo kuozesha chakula, pengine hili ndilo linafanya watu waamini ni sumu. Kazi ya nyongo ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta kutoka kwenye njia ya chakula kwenda kwenye damu.
Ngoja nikagoogle nitarudi.😀🏃
 
Ile ni nyongo kama nyongo zingine na research zinasema hivyo, sihitaji kuionja. Wewe unauhakika gani kuwa ni sumu, umewahi onja ikakuua?
Kwann nyongo yako unadhani sio sumu???

Kwa mfano unajua kazi ya ngongo? Jinsi unafanya kazi na madhumuni yake na aina ya vyakula yunavyokula?

Sasa kutokana na aina ya vyakula anakula mamba nyongo yake ni very strong kiasi kwamba ni sumu kwa binadamu(We can't handle concentration yake). Sijui kama no sumu kwa wanyama wengine pia ila pia sio sumu kwake bwana mamba mwenyewe
 
Ww Jaribu na unapojaribu ijirekodi wanajamvi tuone km kwel
 
Kazi ya nyongo siyo kuozesha chakula, pengine hili ndilo linafanya watu waamini ni sumu. Kazi ya nyongo ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta kutoka kwenye njia ya chakula kwenda kwenye damu.
Sawa kabisa wala hujakosea je ukiila binadamu inakufanyaje kwa concentration yake?

Kwa mfano sumu ya kwenye meno ya nyoka ni kwaajili ya kuanzisha umeng'enywaji(digestion) ya chakula kutokea ndani ya mwili kwenda nje. Yaan kama sisi binadamu tunatafuna chakuka halafu tumboni kinameng'enywa kutoka ganda la juu kwenda ndani ila nyoka akimng'ata panya anakufa na anaanza kumengenywa toka ndani kuja nje. Ndio maana ni nyoka wachache sana wana uwezo wa kumuua binadamu(kutokana na ukubwa wake) ila ni rahisi sana kupoteza kiungo ulipong'atwa kama mguu au mkono kwakua ile sumu inafanya kazi ya kuanza kudigest uke mguu au mkono kwa ndani

Kwa mfano huo na kwa maelezo yako. Kile nyongo yako inachofanya kwenye chakula ndo hicho hicho nyongo ya mamba inakifanya kwenye mwili wa mtu aliyeila(kwakua ile nyongo inalingana=direct proportional=imeundwa kufanya hivyo kwa viumbe wenye miili/uzito unaolingana na kuzidi wakwetu)
 
Ile ni nyongo kama nyongo zingine na research zinasema hivyo, sihitaji kuionja. Wewe unauhakika gani kuwa ni sumu, umewahi onja ikakuua?
We kweli poyoyo. Huna hata uwezo wa kupangilia hoja yako maskini!!!
 
Back
Top Bottom