Huu uongo kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulianzishwa na nani?

Huu uongo kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulianzishwa na nani?

Kwann nyongo yako unadhani sio sumu???

Kwa mfano unajua kazi ya ngongo? Jinsi unafanya kazi na madhumuni yake na aina ya vyakula yunavyokula?

Sasa kutokana na aina ya vyakula anakula mamba nyongo yake ni very strong kiasi kwamba ni sumu kwa binadamu(We can't handle concentration yake). Sijui kama no sumu kwa wanyama wengine pia ila pia sio sumu kwake bwana mamba mwenyewe

Weka hapa vyakula anavyokula mamba, ambavyo unadhani ni vya kipekee tofauti na wanyama wengine... kiasi cha kuwa na nyongo spesho unayoiita very strong!
 
Kazi ya nyongo ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta mwilini. Hata watu ambao wana mafuta mengi mwilini na wanaokuwa wanahatari ya kupata magonjwa ya moyo kutokana na mishipa ya damu kuwa na mafuta hupewa dawa ambazo hutarget nyongo. Hili hupunguza ufyonzaji wa mafuta.
Kinachochakata mifupa ni enzymes na acid ya tumboni.

Sijajua kwa mamba maana yeye ni jamii tofauti na mwanadamu ndio maana reptalia tafuta tena
 
Usiwe mbishi,Nyongo ya mamba ni sumu kali sana,kuna maza mmoja wakigoma alimtwanga na hiyo sumu mme wake,alimuwekea kwenye chakula,aiseee,sasa hivi Mama ni mjane na wakulingwa wanajipigia tu..

Hivi ulishawahi ona mzoga wa kunguru ukiliwa na paka au panya?? Hata sisimizi tu hua hawagusi

Kwani we ulidhani paka au panya wanakula kila kitu?

Wanachagua vyakula kama wewe tu, huyo kunguru wako ni chakula kitamu tu kwa wadudu wengine.
 
Kwann mamba akiuwawa,polisi au magame huichukua?
 
Back
Top Bottom