Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uwezo wako huu wa kufikiri we sio saiz yangu kabisa!!!Kuna utafiti ulisema ni sumu, au umekariri tu huo msemo wa tafiti kupingwa kwa tafiti?
Mkuu hii habari kuwa sumu ya nyoka kazi yake kumeng'enya uliitoa wapi? Sumu ya nyoka ni kwaajili ya kujilinda na kuua. Nyoka kama koboko ana sumu inaitwa neurotoxin hii inaathiri mishipa ya fahamu na kufanya upalalyze. Nyoka kama kifutu ana cytotoxin hizi zinaua cell. Hizi ndiyo zinaozesha mguu. Huwezi ng'atwa na nyoka mwenye neurotoxin halafu mguu ukaoza.Sawa kabisa wala hujakosea je ukiila binadamu inakufanyaje kwa concentration yake?
Kwa mfano sumu ya kwenye meno ya nyoka ni kwaajili ya kuanzisha umeng'enywaji(digestion) ya chakula kutokea ndani ya mwili kwenda nje. Yaan kama sisi binadamu tunatafuna chakuka halafu tumboni kinameng'enywa kutoka ganda la juu kwenda ndani ila nyoka akimng'ata panya anakufa na anaanza kumengenywa toka ndani kuja nje. Ndio maana ni nyoka wachache sana wana uwezo wa kumuua binadamu(kutokana na ukubwa wake) ila ni rahisi sana kupoteza kiungo ulipong'atwa kama mguu au mkono kwakua ile sumu inafanya kazi ya kuanza kudigest uke mguu au mkono kwa ndani
Kwa mfano huo na kwa maelezo yako. Kile nyongo yako inachofanya kwenye chakula ndo hicho hicho nyongo ya mamba inakifanya kwenye mwili wa mtu aliyeila(kwakua ile nyongo inalingana=direct proportional=imeundwa kufanya hivyo kwa viumbe wenye miili/uzito unaolingana na kuzidi wakwetu)
Hoja ipo kwenye nyongo ya mamba ni sumu, Inawezekana hakuna ukweli hata chembe kwenye hilo lakini je! Tukubali bila kuwa na evidence yyte? Pinga hoja kwa research sio kwa Empty Righting.Siwezi kula kila kitu ili kujua kama ni sumu au siyo.
Basi tuliza mshono Sasa Kama huwezi kujaribu.Siwezi kula kila kitu ili kujua kama ni sumu au siyo.
Hoja siyo iwapo sumu ya mamba ni sumu hoja ni huu uongo wa kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulitoka wapi?Hoja ipo kwenye nyongo ya mamba ni sumu, Inawezekana hakuna ukweli hata chembe kwenye hilo lakini je! Tukubali bila kuwa na evidence yyte? Pinga hoja kwa research sio kwa Empty Righting.
Hapo umezungumzia nyoka wenye sumu je nyoka kama common egg eater, chatu na rat snake ambao hawana sumu umeng'enyaji kwao hua inakuaje?Sawa kabisa wala hujakosea je ukiila binadamu inakufanyaje kwa concentration yake?
Kwa mfano sumu ya kwenye meno ya nyoka ni kwaajili ya kuanzisha umeng'enywaji(digestion) ya chakula kutokea ndani ya mwili kwenda nje. Yaan kama sisi binadamu tunatafuna chakuka halafu tumboni kinameng'enywa kutoka ganda la juu kwenda ndani ila nyoka akimng'ata panya anakufa na anaanza kumengenywa toka ndani kuja nje. Ndio maana ni nyoka wachache sana wana uwezo wa kumuua binadamu(kutokana na ukubwa wake) ila ni rahisi sana kupoteza kiungo ulipong'atwa kama mguu au mkono kwakua ile sumu inafanya kazi ya kuanza kudigest uke mguu au mkono kwa ndani
Kwa mfano huo na kwa maelezo yako. Kile nyongo yako inachofanya kwenye chakula ndo hicho hicho nyongo ya mamba inakifanya kwenye mwili wa mtu aliyeila(kwakua ile nyongo inalingana=direct proportional=imeundwa kufanya hivyo kwa viumbe wenye miili/uzito unaolingana na kuzidi wakwetu)
Aiseee eti sumu ya nyoka ni kwaajili ya kujilinda???Mkuu hii habari kuwa sumu ya nyoka kazi yake kumeng'enya uliitoa wapi? Sumu ya nyoka ni kwaajili ya kujilinda na kuua. Nyoka kama koboko ana sumu inaitwa neurotoxin hii inaathiri mishipa ya fahamu na kufanya upalalyze. Nyoka kama kifutu ana cytotoxin hizi zinaua cell. Hizi ndiyo zinaozesha mguu. Huwezi ng'atwa na nyoka mwenye neurotoxin halafu mguu ukaoza.
Usiondoke bado tunaeleweshana tu hapa.Aiseee eti sumu ya nyoka ni kwaajili ya kujilinda???
Sawa mkuu. Ila ukae ukijua sumu ya nyoka haijaumbwa kwaajili ya binadamu ndomaana nyoka hawindi binadamu na anakung'ata baada ya kuona ni tishio. Tena hao vifutu mpaka huwa wanatoa sauti ya kuonya kabla kwakua hana mpango na wewe ila kwa ile misosi yake anakua kimya anawinda
Vyovyote iwavyo naomba nikutakie mwaka mpya mwema
Unajuaje kuwa alitumia nyongo ya mamba? Nyongo ya mamba haiui kitu, labda unywe debe zima, hata maji ukinywa debe zima unakufa.Usiwe mbishi,Nyongo ya mamba ni sumu kali sana,kuna maza mmoja wakigoma alimtwanga na hiyo sumu mme wake,alimuwekea kwenye chakula,aiseee,sasa hivi Mama ni mjane na wakulingwa wanajipigia tu..
Hivi ulishawahi ona mzoga wa kunguru ukiliwa na paka au panya?? Hata sisimizi tu hua hawagusi
Nyongo ya mamba mkalia ini wangu mambo?😉😉😉[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii habari imeandikwa bila kufanyiwa utafiti wowote. Nyongo haifanyi kazi ya umeng'enyajiWIKI iliyopita tulizungunzumzia sifa za mamba na jinsi anavyoishi, makala ile hatukuweza kuimaliza kutokana na ufinyu wa nafasi. Wiki hii tunamalizi sifa za mamba na jinsi unavyoweza kumuepuka pindi unapokutana naye.
Juma lililopita tuliona sifa nane, leo tutaangalia kunzia sifa ya tisa hadi 22.
9. Wakati mwingine huigiza amekufa ili kuwakamata samaki wakubwa kwa urahisi, akiwa majini utaona anazunguka kama anapelekwa na maji, samaki wakubwa hubaki kumshangaa.
10. Kama ilivyo kwa tembo, mamba pia huwindwa na majangiri kinachomponza ni ngozi yake.
11. Aonapo hatari hukimbilia majini na akifika tu hugeuza kichwa chake alikotoka.
12. Mkia wake pia huutumia kama silaha, kumsukumia kiumbe anayejaribu kumshangaa nchi kavu, na ukishaingia kwenye maji naye huja.
13. Ni mnyama mwenye sumu kali ya nyongo, na nyongo yake ina sifa hizo kwa kuwa humsaidia katika mmeng'enyo wa chakula, kwani anapokula humeza hata mifupa.
14. Ni mnyama anayeua haraka, tofauti na wanyama wengine walao nyama, hivyo kifo chake si cha mateso kama ilivyo kwa simba au chui, ila kwa mtazamaji atapata hofu mara dufu kuliko akiona mauaji ya wanyama wengine.
15. Anaweza kunyata katika maji na kiumbe aliyepo pembeni asishtuke kabisa, akiwa mwanadamu ndio kabisa atakosa habari.
16. Mamba jike hapendi mambo ya mahaba, mara nyingi hutumia muda mwingi kulikimbia dume.
17. Madume kwa sababu ya ukubwa wao na uzito, wakati mwingine hutumia ubabe kulipanda jike lake.
18. Dume la mamba lina msaada mdogo kwa jike, msaada huo hutoa pindi linapokuwa na muda wa ziada.
19. Kutafuta chakula huweza kushirikiana ikiwa ni pamoja na kutengeneza mtego.
20. Mamba ni mnyama anayeweza kukumaki na akakutegea, kwa mfano ukiwa na tabia ya kuoga mtoni au kuchota maji kila ifikapo saa kumi katika eneo fulani, kuna siku anaweza akakutangulia nusu saa kabla na ukifika tu ndio umekwisha.
21. Anapopambana nchi kavu wakati wote hutumia kutishia zaidi kuliko kushambulia, ila wakati akili yake huielekeza kukuzubaisha ili akusukumie majini.
22. Anapong'ata huvunja kutokana na mfumo wa meno yake ulivyo, kwani meno ya juu na ya chini huyakutanisha pamoja
Mkuu hii habari kuwa sumu ya nyoka kazi yake kumeng'enya uliitoa wapi? Sumu ya nyoka ni kwaajili ya kujilinda na kuua. Nyoka kama koboko ana sumu inaitwa neurotoxin hii inaathiri mishipa ya fahamu na kufanya upalalyze. Nyoka kama kifutu ana cytotoxin hizi zinaua cell. Hizi ndiyo zinaozesha mguu. Huwezi ng'atwa na nyoka mwenye neurotoxin halafu mguu ukaoza.
Sasa si ndiyo umeambiwa ukaionje ili ulete mrejesho?kuhusu research kusema kuwa ni nyongo Kama nyongo zigine,vilevile research hizohizo zinasema ni sumu.Ile ni nyongo kama nyongo zingine na research zinasema hivyo, sihitaji kuionja. Wewe unauhakika gani kuwa ni sumu, umewahi onja ikakuua?
Hii mada nyingine. Ngoja nijaribu kuelezea kwa kifupi au ntakua naupdate taratibu. Nilimuelezea hivyo ili kuweka mlinganyo wa ikolojia na evolution ya kila kiumbe mpaka nimekua jinsi kilivyoHapo umezungumzia nyoka wenye sumu je nyoka kama common egg eater, chatu na rat snake ambao hawana sumu umeng'enyaji kwao hua inakuaje?