Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kajaribu kuonja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko tayari tufanye utafiti wetu kama watanzania.maana Mamba tunazo yanini kusoma machapisho ya watu.Huo utafiti umefanywa kwenye taasisi rasmi na kuchapishwa rasmi.
Tafuta hilo andiko lipo nje ya mitandaoni.
Ubishi mwingine kama utoto.
Ukisoma hilo chapisho la tafiti husika utaona njia gani na majaribio gani vilitumika kupata majibu ya kusema nyongo ya mamba siyo sumu.
Kama inatengenezwa kwa maana ya kuchanganywa na vitu au kuozesha sawa inaweza kuwa sumu, sababu hata maini ya ng'ombe unaweza kitengeneza sumu ukichanganya na vitu vingine hatari.Hiyo research ilifanywa na nani?'.Una shilingi ngapi nikuunganishe na mzee mmoja wakizinza anayejua kutengeneza hiyo sumu.maana sasa inabidi iwe kufa kufaana.
Kaombe kibali maliasili cha kuuwa mamba kisha njoo PM tafuta na pesa za kuwapa watu wa kutega mamba au bunduki na mbuzi wa chambo kisha twende hapo Ruvu hatumalizi siku 5 tutapata mamba.Uko tayari tufanye utafiti wetu kama watanzania.maana Mamba tunazo yanini kusoma machapisho ya watu.
Uko sahihi.ndo maana ata hizo sumu za nyoka hatari ziko namna watu wanazitumia kwenye tiba nakadhalika.Nimejaribu kujibu ntakua na jibu mdogo mdogo mkuu.
Huyu niliamua kumuacha kwakua alikua anapingana na mimi so hatuwez kufika muafaka. Ukisema hivyo kwamba sumu ina kazi nyingi ntakuelewa. Ila kujitetea ni secondary sio primary. Na ndomaana hata yeye mwenyewe Mr Snake hapendi kuitumia sehem pasipo na manufaa huwa anakimbia viumbe wakubwa ila wale alio na mpango nao huwa anawawinda kabisa
Kwasababu mwisho wake siku akikuuma wewe ukafa au ukakatwa mguu yeye hashibi ila anakua kapunguza risasi zake za kupata mlo
Niambie wewe mara ngapi umeona nyoka kasikia hatua zako unashitukia yule anapotelea kwenye majani. Ni kwakua hana dili na sisi
Nimekubali kuwa Mamba hana sumu kwa utafiti wa huko zimbabweHuo utafiti umefanywa kwenye taasisi rasmi na kuchapishwa rasmi.
Tafuta hilo andiko lipo nje ya mitandaoni.
Ubishi mwingine kama utoto.
Ukisoma hilo chapisho la tafiti husika utaona njia gani na majaribio gani vilitumika kupata majibu ya kusema nyongo ya mamba siyo sumu.
www.forbes.com
www.forbes.com
Tupo pamoja mkuu.Nimekubali kuwa Mamba hana sumu kwa utafiti wa huko zimbabwe
![]()
Crocodile Bile Expert Suspects Toxic Pesticide In Mozambique Tragedy
The Zimbabwean pharmacologist who proved in the 1980s that crocodile bile is not poisonous to mammals says that any speculation on its involvement in the Chitima, Mozambique beer tragedy is "nonsense." After the symptoms of those poisoned were presented to him (diarrhea and gastrointestinal...www.forbes.com
![]()
Did Crocodile Bile Really Kill 75 People In Mozambique?
Radio Mozambique has updated the story this morning, confirming that 69 people have died and 196 are hospitalized after having attended a funeral on Friday in the village of Chitima in the western part of the country. The mourners had gathered later in the day in a neighborhood where Pombe (or...www.forbes.com
Kuna haja ya mods kipitia avatar za watu,alianza kuitumia aachiwe,alieiga anyan'ganywe.Kwa uwezo wako huu wa kufikiri we sio saiz yangu kabisa!!!
Zaidi ya maneno ya mitaani na ya waganga ni research gani inasema sumu ya mamba ni sumu.Zaidi ya maneno ya mitaani na ya waganga ni research gani inasema sumu ya mamba ni sumu
Nyongo ya mamba ni nyongo kama nyongo zingine. Hizi habari kwamba ni sumu zilitoka wapi?
Hiyo siyo kazi ya nyongo.Nyogo ya mwanadamu ikipasuka ndani uchukui round.
Mamba hatafuni bali hana kata na kumeza na kujisaidia kinyesi cha kawaida.
Matumizi ya nyogo uchakata chakula ili kiweze kutoka kimesagika .
Hiyo nyongo yake unaona ikoje hapo
Hiyo siyo kazi ya nyongo.
Kazi ya nyongo ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta mwilini. Hata watu ambao wana mafuta mengi mwilini na wanaokuwa wanahatari ya kupata magonjwa ya moyo kutokana na mishipa ya damu kuwa na mafuta hupewa dawa ambazo hutarget nyongo. Hili hupunguza ufyonzaji wa mafuta.Kazi yake hipi labda ujamiliza kueleza