Huu uongo kuwa nyongo ya mamba ni sumu ulianzishwa na nani?


Weka hapa vyakula anavyokula mamba, ambavyo unadhani ni vya kipekee tofauti na wanyama wengine... kiasi cha kuwa na nyongo spesho unayoiita very strong!
 

Sijajua kwa mamba maana yeye ni jamii tofauti na mwanadamu ndio maana reptalia tafuta tena
 

Kwani we ulidhani paka au panya wanakula kila kitu?

Wanachagua vyakula kama wewe tu, huyo kunguru wako ni chakula kitamu tu kwa wadudu wengine.
 
Kwann mamba akiuwawa,polisi au magame huichukua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…