Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Hii kitu sio utapeli na mm nimekata shauri kujoin. Naanza na laki2 then nitaenda milion 8 na baadae nitaenda hadi milion 30 ndo target yangu.
Here are my plan
Laki2 naweka zangu za kujichanga nitafanya 2 months then naenda kuuza deni la bank nitaliuza 20 mil halaf difference ya 8 mil naiweka yote. Nitaclear den ndani ya mwaka mmoja coz nakatwa kwenye salary na nitakuwa narejesha nje ys mfumo polepole, nitakopa tena 25mil zote naziweka na ndani ya mwaka nitarudisha den then nabski kula faida
Huu sio upatu bali ni biashara ya kuuza dolar na kununua tena hela wanayotoa ni ndogo sana si ajab jamaa wanakula hela ndefu kuliko wanayokupatia sababu ukitrade mwenyewe vizuri unapata zaid ya hiyo. Mm nna jamaa yangu huwa anazungusha elf f50 tu ila kila siku anaingiza either elf 50 ama sio chini ya 20. Ila wao wanatumia AI kutrade hivo ni vigumu sana kupata hasara
Kwa ulivyoandika Tu hata Forex hujui masikini inaonekana umesimuliwa Tu.
 
Mlivyokuwa wapumbavu badala hilo suala muanze kufuatilia wahusika wakamatwe ila mnaacha mpigwe muanze kusumbua.

Better vyombo vya usalama kuanza kufuatilia hii channel kwa ma-upliners mpaka kukamata mwanzilishi mapema au kuwa na tracking ,wakikimbia kuwakamata na kuwafanya mfano.


Mbaaya zaidi wanachuo haswa first Year tayar washaingia kweny mtego.
 
Hii kitu sio utapeli na mm nimekata shauri kujoin. Naanza na laki2 then nitaenda milion 8 na baadae nitaenda hadi milion 30 ndo target yangu.
Here are my plan
Laki2 naweka zangu za kujichanga nitafanya 2 months then naenda kuuza deni la bank nitaliuza 20 mil halaf difference ya 8 mil naiweka yote. Nitaclear den ndani ya mwaka mmoja coz nakatwa kwenye salary na nitakuwa narejesha nje ys mfumo polepole, nitakopa tena 25mil zote naziweka na ndani ya mwaka nitarudisha den then nabski kula faida
Huu sio upatu bali ni biashara ya kuuza dolar na kununua tena hela wanayotoa ni ndogo sana si ajab jamaa wanakula hela ndefu kuliko wanayokupatia sababu ukitrade mwenyewe vizuri unapata zaid ya hiyo. Mm nna jamaa yangu huwa anazungusha elf f50 tu ila kila siku anaingiza either elf 50 ama sio chini ya 20. Ila wao wanatumia AI kutrade hivo ni vigumu sana kupata hasara
Utakuja kuleta ushuhuda hapa jambo litakalokukuta
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Hapa unauliza wrong people hakuna utakachopata zaidi ya kukatishwa tamaa.fanya utafiti wako nenda YouTube kaangalie review take risk hata kilimo au biashara ni risk taking
 
Hiyo hela tafuta kibanda, kachukue mzigo wa laki 3 wa vindala hivi vya kina dada, weka bango lako zuri la kisasa, ajili kijana hapo muwekee na computer ya kurusha vimovie humo humo, subiri hesabu yako ya siku. Huko mtfe unawapelekea watu hela ya ya beer.
Unaijua hiyo mtfe?!
 
Kuna jamaa alikutana na Mimi am 4 real
Ki mwonekano Nina rangi na mwili wa mtu mwenye pesa hili hudhihilishwa na ukiniona tu first time....with your eye contact 👁️Pia kimavazi na hata mwonekano...

Nilikutana na jamaa kwenye occasion Moja weekend hii akaniomba namba maana tulikua busy jamaa aka promise kunitafuta #ASAP

Ngoja ni paste Meseji zake hapa Kwa faida ya wengi....

Huwa siamini hizi cheap politics za Kuna Mr.kuku, kalinda..
 
Mwenye million 2.7 aje anijarbu Mimi inbox pesa yake ataweka kwa blocker (atanpa trading account )Mimi nitam tradia tutagawan faida 50/50 . Kwa wiki hawez kosa faid ya 200,000/- na mtaji upo mfukon kwake njoo inbox njoo,


[emoji113]NARUDIA PESA YAKO HUNIPI MIMI
[emoji613]UNAWEKA KWA BLOCKER NA UNAUWEZO WA KUITOA WEW MWENYEW
[emoji613]MIMI KAZI YANGU NI ACCOUNT MANAGEMENT

MINIMUM USD500
Mkuu sio blocker ni broker, spelling errors kama hizi utakimbiza wateja
 
Back
Top Bottom