Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Mtfe ni scam kama nyingine tu na mwisho wake ndo huu nadhani vilio umevisikia.nina miaka takribani minne sasa na mtfe...ni legit business ambayo ina hasara na faida....ila nashukuru nimekula faida hata dola zilizopo zikipotea sina hasara