Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

1692225559400.png
ANAPIGWA MTU MUDA SI MREFU......... TOENI PESA ZENU......... MSIJE KULIA HUMU KAMA YULE JAMAA ANAYEJIITA "MSHAURI WA SERIKALI" Maana alilizwa na UPUUZI KAMA HUU
 
Ni kweli nimeshuhudia watu wangu wa karibu wakipata pesa kupitia MTFE lakini asilimia kubwa sio kwa kutrade lakini kwa commission za kualika watu.
Kama una uhakika wa kuweza kuinvite watu zaidi ya 1000 ni kweli utatengeneza pesa,lakini kwa kutrade tu utaambulia kilio.
Uwekezaji wowote unaohitaji ili ipate faida kwa haraka mpaka ualike wengine kwenye huo uwekezaji basi huo ni UTAPELI tu!
 
yaani ukiweka mtaji wako mfano tsh milioni 1.3 unapata faida Kila siku 15000-25000 japo ameniambia kuna siku za loss hiyo faida inakuwa haipo.mtaji ukiwa mkubwa na faida kwa siku inakuwa kubwa
Kimbia hapo ...

Acha kabisa, yaani uweke millions kwa matarajio ya kupata 15?
 
Mkuu
Jaribu kilimo at least hakina upatu.

Haya madubwasha hayajawahi kutuacha salama
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
 
Mwenye million 2.7 aje anijarbu Mimi inbox pesa yake ataweka kwa blocker (atanpa trading account )Mimi nitam tradia tutagawan faida 50/50 . Kwa wiki hawez kosa faid ya 200,000/- na mtaji upo mfukon kwake njoo inbox njoo,


[emoji113]NARUDIA PESA YAKO HUNIPI MIMI
[emoji613]UNAWEKA KWA BLOCKER NA UNAUWEZO WA KUITOA WEW MWENYEW
[emoji613]MIMI KAZI YANGU NI ACCOUNT MANAGEMENT

MINIMUM USD500
Trade za kwako
 
MTFE NI UTAPELI KAMA UTAPELI MWINGINE.
WANASEMA WAMESAJILIWA ONTARIO,CANADA ILA UKIINGIA KWENYE TOVUTI YA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA NA MASUALA YA KIFEDHA HAWAITAMBUI.

ACHENI KUPENDA KITONGA MTALIA SANA.
wewe kajamba koko unamuita investor kitonga!? hivi watz mna shida gani!? we tulikiliwa na pesa ni zetu shida yako nini!? huna hela unaleta makasiriko yako
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Naenda ukawe fursa
 
Mpaka sasa hakuna kinachotoka, mimi ni muhanga wa mtfe so naandika nnachokipitia.
Kwa uzoefu wangu ikishaanza kuwa hivi huwa ndo byebye
wewe huna uzoefu wowote tuulize wenye uzoefu, sio mara ya kwanza mtfe kufanya system upgrade
 
wewe huna uzoefu wowote tuulize wenye uzoefu, sio mara ya kwanza mtfe kufanya system upgrade
Najua unajua kuwa mtfe imepepea ila unajaribu kubishana ili usionekane mjinga "kuliwa" kizembe hivyo[emoji1787]
Leo Robot limegoma kuwaka ila huzungumzii hilo! Sisi wazoefu wa hizi mambo huwa kuna dalili tukiziona tunatoa mtaji na kuendelea na mambo mengine na hicho ndicho nilichofanya tangu siku niliyoanza kuona mauzauza.
 
Back
Top Bottom