Mwenye akili timamu hawezi kuzisifua shule za serikali hata kidogo.wengi wetu tumesoma hizo shule tunazijua matatizo lukuki ya shule za umma ndiyo maana huwezi kumuona mtoto wa mkuu wa mkoa,wilaya,mkurugenzi,afisa elimu,waziri,rais au mfanyabiashara mkubwa kama gsm au Mohamed dewj.Lakini kapuku waliopauka wanajifariji eti mtoto kusoma Kwa shida ndiyo akili!Hawa wanajifariji elimu mbovu ya umma ndiyo wanaendekeza kizazi Cha kutumikishwa na watawala na siyo kujikomboa vizazi vyao.