Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ujinga unakujaje hapo?Maua yakiwekwa juu ya kaburi yanakukera nini?Huo usabato wako nao ni kero kwa wengine.Mimi ni Mkristo,haya mambo ya Kijinga yanafanywa na wakristo WAJINGA!
Kuweka Shada juu ya kaburi la Marehemu ni UJINGA wa kiwango Cha Juu mno!
Kuna faida gani mpaka mvua inatunyeshea, na kuna watu hawapewi nafasi kuweka hayo maua si ubaguzi huo? Tunafanya vitu bila muongozo wa bibulia si uzushi huo?Ni upendo tu ni jambo nzuri la kuiga hakuna madhara hasi hapo.
Uarabuni ni jangwa hakyna mauaMkuu nauliza logic ya kuweka mashada ni ipi? Nani kaleta huo utamaduni? Kwanini unafanywa na wakuristu tu.
Miongozo mingi ya kikirsto ni kutoka europe na hasa Italy Vatican na wala sio kwenye bible.Kuna faida gani mpaka mvua inatunyeshea, na kuna watu hawapewi nafasi kuweka hayo maua si ubaguzi huo? Tunafanya vitu bila muongozo wa bibulia si uzushi huo?
Hapo wanafuata nini Ukristo au utamaduni wa wazungu?Miongozo mingi ya kikirsto ni kutoka europe na hasa Italy Vatican na wala sio kwenye bible.
Ukristo ni dini ilichonganyika kati yaliyopo kwenye biblia na utamaduni wa ulaya.Hapo wanafuata nini Ukristo au utamaduni wa wazungu?
Be general ,dini xote ziko hivyo zina blend mafundisho na tanaduni ya zilikotokeaUkristo ni dini ilichonganyika kati yaliyopo kwenye biblia na utamaduni wa ulaya.
Lengo lako naona ni kukera wauslamu kakini naona wamekupuuza, wewe kama huna majibu ya mashada makaburini pisha wanao jua wajibu, chuki zako weka pembeni.KUkamuliwa ni lazima
Hiyo ilikiwa mara Yako ya kwanza kuona? Na kila kinachfanuwa ni lazima kiandikwe kwenye biblia au Sheria jifunzeni kufata taratibu mnazozikuta . Okay wewe usiudhurie aina hiyo ya misibaTumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Majibu nimekupa kuwa ni tamaduni za wazungu wa kale kabla hata ya ukristo, hiyo ni sunna,sasa ulitaka waarabu waweke maua wayatoe wapi jangwaniLengo lako naona ni kukera wauslamu kakini naona wamekupuuza, wewe kama huna majibu ya mashada makaburini pisha wanao jua wajibu, chuki zako weka pembeni.
Jukumu la kulinda uhai wako ni la kwako binafsi,ila kwa vile huwrzi kujizika sisi tutakuzika usitinukie,hakuna unafiki hapoHuwezi kupata majibu mambo mengi tumekaririshwa...hatuwezi kuyaacha yameshaingia kwenye mishipa ya damu kiufupi niheshima za mwisho + unafki kwa marehemu..! ukute marehemu enzi za uhai wake alikosa hata fedha ya matibabu hakuna aliyemchangia sasa akifariki vitu vitakavyo nunuliwa hapo utachoka mwenyewe.
Mkuu mengine yanafuata kutoka wapi kama sio bibulia, lazima tuwe na muongozo sio kufuata vitu hovyo mkuu, tuna marafiki wengi kutoka imani tofauti tunahaja ya kuelewa na kujifunza mambo mengine inao fanyika nao.Hiyo ilikiwa mara Yako ya kwanza kuona? Na kila kinachfanuwa ni lazima kiandikwe kwenye biblia au Sheria jifunzeni kufata taratibu mnazozikuta . Okay wewe usiudhurie aina hiyo ya misiba
Sasa hapo tunafuata dini au utamaduni usio kua na msingi youote, wakuristu kuna haja ya kusoma na kuelewa dini yetu zaidi na zaidi.Huwezi kupata majibu mambo mengi tumekaririshwa...hatuwezi kuyaacha yameshaingia kwenye mishipa ya damu kiufupi niheshima za mwisho + unafki kwa marehemu..! ukute marehemu enzi za uhai wake alikosa hata fedha ya matibabu hakuna aliyemchangia sasa akifariki vitu vitakavyo nunuliwa hapo utachoka mwenyewe.
Ardhi haipanuki ukijengea kaburi ni ubinafsi.Mimi ni Mkristo,haya mambo ya Kijinga yanafanywa na wakristo WAJINGA!
Kuweka Shada juu ya kaburi la Marehemu ni UJINGA wa kiwango Cha Juu mno!