Viongozi wameenda waoneshe janga lililopo Tanzania ni kubwa hivyo kupata mkopo kutoka nje kirahisi kwa ajili ya kusaidia mahafali yaliyotokea ila swali je zitatumika kiuhalali au ndo kulipa viongozi tu ambao hawajaathirika kwamba wao ndo wamefanya zipatikane. Kila mtu ale kwa urefu wa kambak yake