Labda uwe na chip mwilini mwako, hakuna kitu kama hichoHabari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Kujitaftia kifo mapemaAlietuumba mwenyewe alituweka na uwezo huu wa kutojuana mawazo alikuwa na maana yake!
Haya sasa wameingia viherehere watatuuwa hawa..😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ehHebu ngoja kwanza......nikiwaza kwa kutumia lugha mama mfano kimakonde hilo roboti litanigundua kweli?
Mudi ndio mwenye uwezo wa kulinunua tu....Una nunua unaweka ndani kama una mke akitaka kuchepuka tu unajua ,roboti itakwambia anawaza nn mkeo
NWO kaziniAlietuumba mwenyewe alituweka na uwezo huu wa kutojuana mawazo alikuwa na maana yake!
Haya sasa wameingia viherehere watatuuwa hawa..[emoji28]
Week moja nyingi, mkeo anakutulia sumu au anakuua kwa kukukaba usingizini.
Science inakua hata kabla ya uvumbuzi wa magari watu walikuwa wanaogopa kitumia usafiri mwingine zaidi ya farasi.NWO kazini
SI KWELI. Wanapigia chapuo ndoto zao. Yenyewe inategemea binadamu itamzidije?Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Kuna watu wataachika balaa[emoji28][emoji28]Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Simple, kama ni mahakamani robot ikiletwa tu mbele yako unaacha kuwaza uliyonayo unaanza kuwaza mambo ya kanisani na kumuombea hakimu aishi maisha marefuHabari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
itakuwa ngumu sana kuprove hicho anakisema robot kama ni sahihi, haitofanikiwa, yaan robot iseme nawaza kumtafuna shemeji yanguHabari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Mule mule kaka atakaye elewa aeleweNi ujinga kuondoka na hii concept kuwa " aliyetuumba anajua"..
Hatukuumbwa na asili hii, asili yetu ni kujua everything (knowingness ndo nature yetu)
Zamani kabla ya kuwa "binadamu" tulikuwa na uwezo wa kujua mawazo yote yanayowazwa. Tulikuwa na uwezo wa kuwasiliana na viumbe na mimea, yaani tulijua eveything, wala hatukuhitaji magari kwa vile tulikuwa na uwezo wa kufika mahali popote bila kusafiri...ni manipulation tu ndo imetuondolea powers zetu lakini tutarejea tena kwenye asili yetu hivi punde labda kama umepokea chanjo utabakia hivyo "forever".
Duniani bado watu wanazitegemea dini zilizowadanganya kwa miaka maelfu kuwaokoa. Wanadhani Yesu na Deities wengineo watarudi, never.
Hao wakina Elon Musk wanajua siri na asili ya binadamu na miungu yao ndo inetengeneza hii hybrid ya binadamu huyu wa leo ambaye ni "nothing".Tafakari upya
Ni uongo mtupu hakuna mtu au jini au shetan au malaika ajuaye akiwazacho mwanadam n MUNGU pekee rejea yeremia 17 :9 1wakorintho wa 2; 11Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Hii inaweza pia kusaidia kwenye masuala ya Interrogation/Kiuchunguzi kama mbadala wa Polygraph Test.Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Mimi screen ya robot itajaa majina ya ex wangu tuHabari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.
Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?
View attachment 1899487
Ningekuwa mimi huyo ananibana hivo ningejifanya nimeshakata roho akiutoa tu uso usoni mwangu nanyanyuka na jebu moja la hatari mno