Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Labda uwe na chip mwilini mwako, hakuna kitu kama hicho
 
Hebu ngoja kwanza......nikiwaza kwa kutumia lugha mama mfano kimakonde hilo roboti litanigundua kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eh
 
Hiyo Robot inasoma mawazo ya mtu yule aliyekuwa na chip mwilini wake hiyo Ndo Technology ya 666.
Shetani hana uwezo wa kusoma mawazo ya mtu ispokuwa anajua unachowaza kwa ishara yako unayofanya wakati unawaza
666 unawekwa mkonon au kwenye paji la uso.
Twende tukachanjwe
 
Week moja nyingi, mkeo anakutulia sumu au anakuua kwa kukukaba usingizini.
x-noveleira-christiane-torloni.gif
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
SI KWELI. Wanapigia chapuo ndoto zao. Yenyewe inategemea binadamu itamzidije?
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Kuna watu wataachika balaa[emoji28][emoji28]
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Simple, kama ni mahakamani robot ikiletwa tu mbele yako unaacha kuwaza uliyonayo unaanza kuwaza mambo ya kanisani na kumuombea hakimu aishi maisha marefu
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
itakuwa ngumu sana kuprove hicho anakisema robot kama ni sahihi, haitofanikiwa, yaan robot iseme nawaza kumtafuna shemeji yangu
 
Ni ujinga kuondoka na hii concept kuwa " aliyetuumba anajua"..
Hatukuumbwa na asili hii, asili yetu ni kujua everything (knowingness ndo nature yetu)
Zamani kabla ya kuwa "binadamu" tulikuwa na uwezo wa kujua mawazo yote yanayowazwa. Tulikuwa na uwezo wa kuwasiliana na viumbe na mimea, yaani tulijua eveything, wala hatukuhitaji magari kwa vile tulikuwa na uwezo wa kufika mahali popote bila kusafiri...ni manipulation tu ndo imetuondolea powers zetu lakini tutarejea tena kwenye asili yetu hivi punde labda kama umepokea chanjo utabakia hivyo "forever".
Duniani bado watu wanazitegemea dini zilizowadanganya kwa miaka maelfu kuwaokoa. Wanadhani Yesu na Deities wengineo watarudi, never.
Hao wakina Elon Musk wanajua siri na asili ya binadamu na miungu yao ndo inetengeneza hii hybrid ya binadamu huyu wa leo ambaye ni "nothing".Tafakari upya
Mule mule kaka atakaye elewa aelewe
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Ni uongo mtupu hakuna mtu au jini au shetan au malaika ajuaye akiwazacho mwanadam n MUNGU pekee rejea yeremia 17 :9 1wakorintho wa 2; 11
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Hii inaweza pia kusaidia kwenye masuala ya Interrogation/Kiuchunguzi kama mbadala wa Polygraph Test.
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Mimi screen ya robot itajaa majina ya ex wangu tu
 
Back
Top Bottom