Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Mmh 🤔🤔,, mbona unanipa wasiwasi jamani
Si lazima niwe sahihi, Ila ongeza umakini na umvizie kwa uchunguzi mkubwa.Usijishughulishe nae wazi wazi ila mfuatilie kwa ukaribu.Kama ni mwanaume hakikisha kama yupo kamili.
 
Si lazima niwe sahihi, Ila ongeza umakini na umvizie kwa uchunguzi mkubwa.Usijishughulishe nae wazi wazi ila mfuatilie kwa ukaribu.Kama ni mwanaume hakikisha kama yupo kamili.
Sawa mkuu nimekuelewa,,Asante kwa ushauri pia 🙏🏼
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote [emoji1374]
Balehe Plus Bange vinamuendesha dogo!
 
Kwenye suala la chakula alikua anakula vizuri tu bila shida,, usafi pia yuko vizuri...kwamba ameanza kufanya mapenzi hapo ndo ninaposhindwa kuamini...ila tutaufanyia kazi ushauri wako mkuu[emoji1374]
17years asifanye mapenzi? Watoto siku hizi wanabalehe at tha age of 15yrs tu tayari vuzi limeota na wanapata ndoto nyevu.

Huyo dogo kwani unavyomuona bado hajabalehe?
 
*Kipigo hakitamsaidia.

*Nyie watoto wakike ndo mnamvuruga na hatoweza kuwaelewa zaidi ndo mtazidi kumchukiza kwa kumfatafata.

*Baba ndo mwenye huo uwezo.

*Short story

Mimi kipindi nipo kwenye iyo age niliwahi kutamani kumpiga jiwe dada yangu la kichwa na hatakama angekufa nisingejali.(hasira)
Nilitamani kua mbali na familia yangu nikae mwenyewe.(hasira)
Niliwahi kusimama mbele ya daraja marakadhaa nikitaka kujiua(hasira)
Niliwajibu dada zangu na kaka zangu ovyo samtimes(hasira)

Majibu ya kwanini.
-Wazazi, ndugu hawakuwahi kujua madhara ya maneno waliokua wakiyaongea kimzaa kuhusu mimi kumbe kwenye moyo wangu nilikua nayachukulia serious sana bila wao kujua.

-Walikua sametimes wakinisingiizia vitu au kunionea kwa kunisemea mambo yasikua ya kweli kwa wazazi, mda mwingine walipenda kunicontrol sababu waliona mi mdogo kwao bila kujua kua moyoni nilikua nayatunza na nikiwa mwenyewe nilikua nalia sana.

-Yapo mengi ila outcome mwisho wa siku ilikuja kuonekana nina kiburi pia najiona nimekua, mda huo kwenye akili yangu na moyo nishakata ile bond ya undugu bila wao kujua, na hatari zaidi wanaishi na mtu ambae ni (PSYCHO GUY) bila kujua wakidhani peer groups ndo zinaniharibia.

USINGESEMA ALIKUA MPOLE NISINGESEMA KITU ila kwa experience yangu including me, nakushauri ogopa sana watu wasio ongea, wakimya, in general wapole hao watu wanavitu vingi kwenye vichwa na mioyo yao unaweza kuta chanzo ya haya yote kuna jambo mlimfanyia miaka mitano ilopita saivi ni outcomes tuu,

Nakushauri kama unampenda mwache kwanza huru kama mzee alivosema pili kama kuna ndugu anayempenda kama shangazi au bibi mpelekeni akakae hata mwezi mmoja akirud jenga character tofauti usipende kujifanya unamchunguza au comhandle njia pekee yakuweza kumjua ni kua rafiki yake wa siri mpe uhuru wa kukuambia siri zake bila kujudge ndo mtaweza kujua anashida wapi na wapi na mkishajua ilo mtamuhandle bila tatizo.
 
sio rahisi kujua mkuu, ila amini kwamba hapo mtaani watu wanajua ila hawawezi kuwaambia kama msipowauliza ila wanangoja janga liwe kubwa ndo waseme sisi tuliona tu.

Kama anatoka na kurudi jioni lazima kuna watu wanamuona, kuna spies wa kujitegemea wanajua tu, kama una rafiki mtaa huo jaribu kumshirikisha uone maoni yake.
Hili la msingi wajaribu kuwahusisha majirani,maaana huwenda wana umbea lakini wanashindwa kufikisha ujumbe kwa familia
 
Hapana hiii hali ni ya kawaida , mimi mwenyewe nimepitia hiii hali ,mpaka saivi ninayo kwa kiasi ,nikipata time ntaelezea.
 
Hili la msingi wajaribu kuwahusisha majirani,maaana huwenda wana umbea lakini wanashindwa kufikisha ujumbe kwa familia
Labda nao ni zile familia bora ambazo zimezungukwa na majirani hali ya chini hivyo hawachangamani kiivyo.
 
Ukiondoa baba, hakuna mwanaumwe mwingine azungumze nae....?
 
Assessment: Firstly, psychologists can conduct assessments to identify the specific issues that a young person is facing, including any underlying mental health concerns.

Therapy: They can provide evidence-based therapy to help young people develop coping strategies, build resilience, and work through difficult emotions or experiences.

Family therapy: Family therapy can be particularly effective for young people who are struggling with issues related to family dynamics or relationships.

Social skills training: Psychologists can provide social skills training to help young people develop the skills they need to form healthy relationships and navigate social situations.

Psychoeducation: They can provide education and resources to young people and their families about mental health issues, coping strategies, and healthy lifestyle habits.

Collaborative care: Overall, they can work collaboratively with other healthcare professionals, such as primary care physicians or psychiatrists, to provide integrated care for young people with complex needs.

Overall, psychologists can provide young people with the tools, support, and guidance they need to address their problems, improve their mental health and well-being, and thrive

Ana physchological problems (use above hints)

Mkuu huu ushauri hauwezi kupata summary ya Kiswahili?
 
Kwa fikra zangu anaweza akawa ameanza kuvuta bangi maan for some people ndo zinakuwaga side effects zake au ameanza tabia ya ushoga au amepata maambukizi ya ukimwi au magonjwa mengine ya zinaa yaliyopelekea kuharibu saikolojia yake.. ni vyema atafutiwe canceller wa kuzungumza nae haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaaribika zaid...
 
Mchunguzeni kwa umakini katika vitu hivi:

1.Muonekano wake wa mwili ukoje.Uko tofauti na zamani? Mfano kifua chake kimeongezeka kama mtu afanyaye mazoezi?,

Mikono yake imejenga mizuri na kiganja cha mkono wake kimejaa ?

2.Anatembeaje? Kama zamani au amebadilisha aina ya utembeaji?

3.Ana mwili mwepesi tofauti na zamani, au amekuwa mvivu mvivu?

5.Kuna siku amewahi kurudi nyumbani akawaambia anajisikia kuchoka sana?

N:B.Baba anafanya kazi gani au kwenye taasisi ipi? Sihitaji uitaje.

Nimeuliza hivi kwasababu baba amesema muacheni huenda anajua kila kitu kinachoendelea ndio maana haoni tatizo ila hataki kuwaambia ukweli.
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote [emoji1374]
Unafahamu rafiki zake wa karibu ?
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼
Subirini wakutane na jela ....atanyoooka kuna kundi Nakutana nalo Huyo
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote [emoji1374]
Kufanya mapenzi pekee hakupelekei hali hiyo

Nina shaka na makundi
 
Nilicho kiona huyo dogo humo ndani kwenu anawazazi watatu baba,mama, na wewe ...maana umejivisha uzazi.


Na kikubwa huyo dogo mmekuwa mkimfuatilia Sana na kuingilia privacy zake nyingi na kumtreat kama mtoto mdogo.


Hivyo amekua na yupo kwenye balehe na anajiona amesha kuwa mtu mzima na nyie ni watu ambao mnapambana kumdogosha ili kuwakata vimidomo vyenu ndio maana anafanya hivyo hataki mazoea na nyie.


Halafu amesha pata demu na hizo dawa huenda aliambukizwa STDs so akawa anajitibia....wanao sema dogo ni shoga hao ni wapumbavu na ndio mashoga wenyewe angekua shoga angekua anakenua kenua meno na nyie.

Dogo yupo sawa muacheni mpeni uhuru
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote [emoji1374]
Uyo dogo atakuwa kaachwa labda stress tu

Yupo form ngapi?

Kwenda na nyie church ata mm namuunga mkono
 
Back
Top Bottom