Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

1.Kijana alikua mpole, 2.nyumbani anashinda na mama na dada, 3.muv haangalii sana akiangalia atangalia muv za mama na dada.
MAJIBU YA MASWALI YAKO
1. Dogo alikua mpiga nyeto. kapata demu(mboso_amepotea)
2. Alikua na tabia nzuri akitegemea kuna jambo kama familia mta mpa lakini ikawa kinyume na matarajio yake
3. Balehe inamsumbua
4. Amekutana na makundi ya hovyo
5. ONE MAN DOWN, ...I REPEAT ONE MAN DOWN...WE NEED BACK UP...OVER
 
1.Kijana alikua mpole, 2.nyumbani anashinda na mama na dada, 3.muv haangalii sana akiangalia atangalia muv za mama na dada.
MAJIBU YA MASWALI YAKO
1. Dogo alikua mpiga nyeto. kapata demu(mboso_amepotea)
2. Alikua na tabia nzuri akitegemea kuna jambo kama familia mta mpa lakini ikawa kinyume na matarajio yake
3. Balehe inamsumbua
4. Amekutana na makundi ya hovyo
5. ONE MAN DOWN, ...I REPEAT ONE MAN DOWN...WE NEED BACK UP...OVER
Sijaelewa hapo kwamba kuna jambo alitegemea tumpe🤔
 
Fanyeni kila namna muwahi kituo Cha police muombe msaada watawasaidia kumdadisi na kujua undani wake kabla hajaharibikiwa kupitiliza.

Wewe na mama yako kwakuwa ni wanawake hamuwezi kumdhibiti kwa umri huo kwasababu mmeshachelewa ilibidi muwe naye karibu tangu bado mdogo
 
Fanyeni kila namna muwahi kituo Cha police muombe msaada watawasaidia kumdadisi na kujua undani wake kabla hajaharibikiwa kupitiliza.

Wewe na mama yako kwakuwa ni wanawake hamuwezi kumdhibiti kwa umri huo kwasababu mmeshachelewa ilibidi muwe naye karibu tangu bado mdogo
Itabidi tufanye hivyo mkuu,,, maana sasa tunawasiwasi mda wa kwenda shule unakaribia asije akakataa na kwenda shule tena hali ikawa mbaya zaidi🤔🤔
 
Mmh[emoji17][emoji2356]
Na anakuwa mjeuri halafu mkali kwelikweli. Mvulana huwa hivi anapokuwa kwenye mazingira ya penzi la kujiachia (huru) kuwa na mwanamke. Anajiona amekua ,hataki kuhojiwa hasa na mwanamke hata awe mkubwa kwake anamshusha thamani kwakuwa keshaona na kuonja na kula kei yake.

Ni kama baba awe na mahusiano na msichana wa kazi za ndani (house girl) ni lazima mama atadharauliwa na house girl kwakuwa anajiona Hana tofauti na mama kwasababu anachopewa mama na yeye (house girl) anakipata.

Nafikiri ni suala la uasili wa binadamu (human nature)
 
Adolescent stage
Dogo kesha pewa utelezi uko ana teleza hatari
hizo dawa si ajabu ni matokeo ya kupiga kavu pu**y mtelezo si ajab dogo alikua ana jitibu Std's

yawezekana ame onja kijiti kina mpeleka puta hivi sasa

Mfatilieni kwa ukaribu hata kupitia rafiki zake bila yeye kujua mtajua tu
Mzee mwacheni anaelewa kijana wake kesha anza kulamba lamba nyuchi uko
 
Na anakuwa mjeuri halafu mkali kwelikweli. Mvulana huwa hivi anapokuwa kwenye mazingira ya penzi la kujiachia (huru) kuwa na mwanamke. Anajiona amekua ,hataki kuhojiwa hasa na mwanamke hata awe mkubwa kwake anamshusha thamani kwakuwa keshaona na kuonja na kula kei yake.

Ni kama baba awe na mahusiano na msichana wa kazi za ndani (house girl) ni lazima mama atadharauliwa na house girl kwakuwa anajiona Hana tofauti na mama kwasababu anachopewa mama na yeye (house girl) anakipata.

Nafikiri ni suala la uasili wa binadamu (human nature)
Mbona unanitisha mkuu🥹,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi 🤔, mbona bado mdogo jamani 🥹🥹
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼
ww ndo hujui kilichomfanya awe ivo baba yake anajua fika na mama yake anajua fika na ndo maana anakuwa na wasiwasi kubwa kuwa mtoto anaweza kujiangamiza
 
Back
Top Bottom