Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Adolescent stage
Dogo kesha pewa utelezi uko ana teleza hatari
hizo dawa si ajabu ni matokeo ya kupiga kavu pu**y mtelezo si ajab dogo alikua ana jitibu Std's

yawezekana ame onja kijiti kina mpeleka puta hivi sasa

Mfatilieni kwa ukaribu hata kupitia rafiki zake bila yeye kujua mtajua tu
Mzee mwacheni anaelewa kijana wake kesha anza kulamba lamba nyuchi uko
Aisee,, mbona hili tatizo sasa🥹
 
Inawezekana Kuna tukio Moja kubwa baya ameliona miongoni mwenu ,haswaa hao wazazi wake linamfanya kua hvyooo Yaani amejikuta amepoteza trust na furaha hapo nyumbani...
Tafuta Mtu aongeee nae!
 
1. Je baba hua anakaa na kuongea na kijana wake time to time??
2. Je mara ya mwisho huyo dogo alitandikwa bakora akiwa na umri gani??
3. Je hua mnakula nae pamoja mezani mkiwa na baba na mama??
4. Je rafiki zake wana background ipi kwenye familia wanazo tokea??

Maoni yangu ni:
1. Yawezekana kijana ameanza kubakehe na hayo ni mabadiliko ya tabia za mwili.
2. Yawezekana dogo ameanza kujifunza tabia mbaya kama uvutaji wa bange na mengine kama hayo.
3. Yawezekana kijana ameanza kujihusisha na mahusiano na anajiona amekua mkubwa sasa.
 
Mbona unanitisha mkuu🥹,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi [emoji848], mbona bado mdogo jamani 🥹🥹
Miaka 17 bado mdogo???????????!!!!!!!!! Kijijini umri huo mtu anaoa na anatia mimba safi kabisa.

Wengine wanaanza kut********mba bado wadogo.

Kuna rafiki yangu anahadithia alianza kutia akiwa Drs la nne primary, tena wakati huo ilikuwa na mwanamke mtu mzima ana watoto na ameolewa. Mumewe kila akisafiri alikuwa anaenda kumuomba dogo kwao akalale kwa mkewe kwasababu alikuwa anaogopa watoto bado wadogo.

Ni mkasa una maelezo marefu lakini kilichokuja kutokea ni yule mama kugongwa na bwana mdogo kiasi Cha kunogewa akawa anatamani mume wake asafiri kila wakati ili apate nafasi ya kufanywa na bwana mdogo.

Dunia Ina mambo mengi sana, usijilimit kwenye kufikiri na kuchanganua mambo......lkitokea ukajua ndivyo ilivyo unakomaa nalo, ikiwa sivyo unasema Asante Mungu
 
kuna maisha wenzake wanaishi (apo nguo kali, simu kali, mademu wakali uhuru wa club nk) sasa alijua akiwa na adabu mtampa baadhi lakn inaonyesha mmemchinjia baharini.
Anha,,, simu kali kaanza kutumia tangu akiwa form 1 na haijawahi kumpa shida hata shuleni maana form four kafaulu vizuri sana, na suala la mavazi sio tatizo kwake wala kwetu wote pia.., na sio kama tulikua hatumpi uhuru wa kutoka hapana, ni vile tu upole ni tabia yake tangu alivyokua mdogo...sijajua ni nini kinamsumbua saiz
 
Miaka 17 bado mdogo???????????!!!!!!!!! Kijijini umri huo mtu anaoa na anatia mimba safi kabisa.

Wengine wanaanza kut********mba bado wadogo.

Kuna rafiki yangu anahadithia alianza kutia akiwa Drs la nne primary, tena wakati huo ilikuwa na mwanamke mtu mzima ana watoto na ameolewa. Mumewe kila akisafiri alikuwa anaenda kumuomba dogo kwao akalale kwa mkewe kwasababu alikuwa anaogopa watoto bado wadogo.

Ni mkasa una maelezo marefu lakini kilichokuja kutokea ni yule mama kugongwa na bwana mdogo kiasi Cha kunogewa akawa anatamani mume wake asafiri kila wakati ili apate nafasi ya kufanywa na bwana mdogo.

Dunia Ina mambo mengi sana, usijilimit kwenye kufikiri na kuchanganua mambo......lkitokea ukajua ndivyo ilivyo unakomaa nalo, ikiwa sivyo unasema Asante Mungu
Aisee 🤔🤔,, mbona tutapata tabu sana🤦‍♀️🤦‍♀️
 
Inawezekana Kuna tukio Moja kubwa baya ameliona miongoni mwenu ,haswaa hao wazazi wake linamfanya kua hvyooo Yaani amejikuta amepoteza trust na furaha hapo nyumbani...
Tafuta Mtu aongeee nae!
Itabidi nitafute mtu aongee nae maana naona lishakua tatizo sasa
 
tatizo ni kwamba baba tumemshirikisha na hafanyi lolote anasema tumuache tu kama alivyosema mwenyewe..na bad luck nyumbani hatuna mwanaume mwingne zaidi ya yeye na baba tu
Naweza kukisia. Inaonekana alipokuwa anakaa nyumbani sana mlimwandama kwa masimango na kila aian ya kero kuwa ni kwa nini hatoki kama wanaume wengine. Sasa akaona atoke ili awaonyeshe kuwa na yeye amekua. All in all wewe na mama yako inaonekana ni wale wanawake wanaofuatilia mambo ya watoto wao wa kiume na kutaka kuwa-control. Hii inaonyesha hata ulivyosema mnaingia chumbani kwake. Mimi ni mwanaume na nilipokuwa kwenye huo umri nilipata kero kama hizi. Mama yangu na dada zangu wakawa kama wanataka kuingilia maisha yangu na kuniona kama bado ni mtoto wa chekechea. Tulikuwa tunagombana sana kwani mra nyingi nilikuwa nataka kuwaonyesha kuwa sitaki kuendeshwa kama gari bovu. Ushauri wangu ni kuwa achaneni na kutaka kum-control maisha yake. Wewe anakufuatilia? Komeni kabisa wewe na mama yako. Miaka 17 bado mnataka kumfanya kama mtoto wa chekechea?
 
dogo alikua anagonga nyeto saivi kapata demu anamchanganya kama si hivyo dogo amekua shoga, amepeta kundi linamjaza ujinga.. Wakikuletea story za bangi wanakudanganya bangi wanakudanganya.
 
Naweza kukisia. Inaonekana alipokuwa anakaa nyumbani sana mlimwandama kwa masimango na kila aian ya kero kuwa ni kwa nini hatoki kama wanaume wengine. Sasa akaona atoke ili awaonyeshe kuwa na yeye amekua. All in all wewe na mama yako inaonekana ni wale wanawake wanaofuatilia mambo ya watoto wao wa kiume na kutaka kuwa-control. Hii inaonyesha hata ulivyosema mnaingia chumbani kwake. Mimi ni mwanaume na nilipokuwa kwenye huo umri nilipata kero kama hizi. Mama yangu na dada zangu wakawa kama wanataka kuingilia maisha yangu na kuniona kama bado ni mtoto wa chekechea. Tulikuwa tunagombana sana kwani mra nyingi nilikuwa nataka kuwaonyesha kuwa sitaki kuendeshwa kama gari bovu. Ushauri wangu ni kuwa achaneni na kutaka kum-control maisha yake. Wewe anakufuatilia? Komeni kabisa wewe na mama yako. Miaka 17 bado mnataka kumfanya kama mtoto wa chekechea?
Kwani kuna shida kumfatilia mtoto,, em just imagine anaumwa hadi anapona hasemi, vipi kama angezidiwa na homa na Sisi hatuna taarifa...miaka 17 ni mtu mzima kweli 🤔
 
dogo alikua anagonga nyeto saivi kapata demu anamchanganya kama si hivyo dogo amekua shoga, amepeta kundi linamjaza ujinga.. Wakikuletea story za bangi wanakudanganya bangi wanakudanganya.
aisee 🥹🤔🤔
 
Mpeni uhuru anaotaka ila mfuatilieni mjie mienendo yake. Kama havuti shada basi ana mahusiano ambayo hataki mtu ajue.

Chungeni tu hayo mahusiano yasije kuwa ya jinsia moja. Kama ana mwanamke mnaweza pia kuanza kuandaa budget ya pampas.
Sawa mkuu nimekuelewa, Asante kwa ushauri
 
Assessment: Firstly, psychologists can conduct assessments to identify the specific issues that a young person is facing, including any underlying mental health concerns.

Therapy: They can provide evidence-based therapy to help young people develop coping strategies, build resilience, and work through difficult emotions or experiences.

Family therapy: Family therapy can be particularly effective for young people who are struggling with issues related to family dynamics or relationships.

Social skills training: Psychologists can provide social skills training to help young people develop the skills they need to form healthy relationships and navigate social situations.

Psychoeducation: They can provide education and resources to young people and their families about mental health issues, coping strategies, and healthy lifestyle habits.

Collaborative care: Overall, they can work collaboratively with other healthcare professionals, such as primary care physicians or psychiatrists, to provide integrated care for young people with complex needs.

Overall, psychologists can provide young people with the tools, support, and guidance they need to address their problems, improve their mental health and well-being, and thrive

Ana physchological problems (use above hints)
 
Back
Top Bottom