Sijaelewa hapo kwamba kuna jambo alitegemea tumpe🤔1.Kijana alikua mpole, 2.nyumbani anashinda na mama na dada, 3.muv haangalii sana akiangalia atangalia muv za mama na dada.
MAJIBU YA MASWALI YAKO
1. Dogo alikua mpiga nyeto. kapata demu(mboso_amepotea)
2. Alikua na tabia nzuri akitegemea kuna jambo kama familia mta mpa lakini ikawa kinyume na matarajio yake
3. Balehe inamsumbua
4. Amekutana na makundi ya hovyo
5. ONE MAN DOWN, ...I REPEAT ONE MAN DOWN...WE NEED BACK UP...OVER
Inawezekana sana tu, na kwa umri wake huo atawasumbua sana hasa kama kampata mwanamke ambaye ana Getto lake wanaweza wakakaa humo hata siku nzima ni kuchapana miti tu kwa vile umri huo kidudu kinasimama kila dakikaMmmm [emoji848],, kwamba amepata demu ndo anamchanganya au
Itabidi tufanye hivyo mkuu,,, maana sasa tunawasiwasi mda wa kwenda shule unakaribia asije akakataa na kwenda shule tena hali ikawa mbaya zaidi🤔🤔Fanyeni kila namna muwahi kituo Cha police muombe msaada watawasaidia kumdadisi na kujua undani wake kabla hajaharibikiwa kupitiliza.
Wewe na mama yako kwakuwa ni wanawake hamuwezi kumdhibiti kwa umri huo kwasababu mmeshachelewa ilibidi muwe naye karibu tangu bado mdogo
Police wanamnyoosha , tena hata kwa kuzungumza naye tu wanajuaItabidi tufanye hivyo mkuu,,, maana sasa tunawasiwasi mda wa kwenda shule unakaribia asije akakataa na kwenda shule tena hali ikawa mbaya zaidi[emoji848][emoji848]
Na anakuwa mjeuri halafu mkali kwelikweli. Mvulana huwa hivi anapokuwa kwenye mazingira ya penzi la kujiachia (huru) kuwa na mwanamke. Anajiona amekua ,hataki kuhojiwa hasa na mwanamke hata awe mkubwa kwake anamshusha thamani kwakuwa keshaona na kuonja na kula kei yake.Mmh[emoji17][emoji2356]
Atakushukuru sana ukubwani ukimuokoa kwani kwa sasa haoni hatari na athari ya hiyo tabia yakeAsante kwa ushauri mkuu [emoji1374],, ntaufanyia kazi
Mbona unanitisha mkuu🥹,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi 🤔, mbona bado mdogo jamani 🥹🥹Na anakuwa mjeuri halafu mkali kwelikweli. Mvulana huwa hivi anapokuwa kwenye mazingira ya penzi la kujiachia (huru) kuwa na mwanamke. Anajiona amekua ,hataki kuhojiwa hasa na mwanamke hata awe mkubwa kwake anamshusha thamani kwakuwa keshaona na kuonja na kula kei yake.
Ni kama baba awe na mahusiano na msichana wa kazi za ndani (house girl) ni lazima mama atadharauliwa na house girl kwakuwa anajiona Hana tofauti na mama kwasababu anachopewa mama na yeye (house girl) anakipata.
Nafikiri ni suala la uasili wa binadamu (human nature)
ww ndo hujui kilichomfanya awe ivo baba yake anajua fika na mama yake anajua fika na ndo maana anakuwa na wasiwasi kubwa kuwa mtoto anaweza kujiangamizaHabari wanajamvi...
Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.
Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..
Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.
Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.
Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...
Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼