Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Davido kwako ni dogo?Hata hao wachache wanaokula bado hawajala inavyopaswa.
Kwa nigeria kidogo naona wanajitahidi kuna familia za kina davido wale watoto wao wanazaliwa wanaukuta utajiri.
Kipindi davido kanunua ile RR sikushangaa sabab dogo hela kazikuta zinatiririka kwao kutoka kwenye visima vya mafuta.
Hao walaji bado kabisa hawajala inavyopaswa, wengi ni kama vibaraka tu
HhahahaaMakaburu waliitengeneza Johannesburg kupitia Dhahabu, johannesburg yetu ipo wapi?..
Mauritius ni kisiwa cha utalii na maisha yao yanaenda, sisi ukiitoa Zanzbar, hii coast yetu toka Tanga hadi Mtwara tumeifanyia nini?...
Vipi wenzetu Botswana, maisha wanaendesha kwa kutegemea almasi. Tuseme ni nchi ndogo, je shinyanga ina dalili zozote za kufikia standard ya maisha ya watswana?...
Tanzania hata tungepewa mafuta, tungeendelea kuwa na uhaba wa umeme kama Nigeria. Huo ndio uhalisia
Angola na Nigeria wana mafuta mengi tu, ila ni Ufisadi kwenda mbele, Raisi wa Zamani wa angola na Binti yake ndio wa Africa mwanamke na mwanaume wenye Utajiri zaidi. Wakati wao ni matajiri hivyo wananchi wao wana Umasikini wa kutupwa.Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?
Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.
Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.
Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.
Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.
Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.
Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.
Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Raia wenye uraia wa UAE ni milioni 1.5 tuTumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.
Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.
Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi.
Botswana ina raia milioni 2.5Makaburu waliitengeneza Johannesburg kupitia Dhahabu, johannesburg yetu ipo wapi?..
Mauritius ni kisiwa cha utalii na maisha yao yanaenda, sisi ukiitoa Zanzbar, hii coast yetu toka Tanga hadi Mtwara tumeifanyia nini?...
Vipi wenzetu Botswana, maisha wanaendesha kwa kutegemea almasi. Tuseme ni nchi ndogo, je shinyanga ina dalili zozote za kufikia standard ya maisha ya watswana?...
Tanzania hata tungepewa mafuta, tungeendelea kuwa na uhaba wa umeme kama Nigeria. Huo ndio uhalisia
Population nayo inachangia umaskini kama taifa haliko vizuri katika teknolojia.Tupewe mara ngapi sasa, madini yako kila mahala, gas ipo yakutosha kabisa tumevifanyia nini? zaidi ya wachache na familia zao kujinufaisha?.
Hata mafuta yangekuwepo zingekuwa story hizi hizi, za paka na panya.
Population nayo inachangia umaskini kama taifa haliko vizuri katika teknolojia.
Wapo waliopewa kama Nigeria, Angola, Equatorial Guinea, Gabon ila Sasa wanakula wachacheJana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?
Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.
Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.
Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.
Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.
Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.
Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.
Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Kama una umri wa kumuita Davido dogo basi upo vizuri.Unajua umri wangu?
Umemaliza Mkuu.Mwafrika hana akili,wewe na kwenda kote huko kwanini hujaulizia historia ya Dubai???Usomi wako uko wapi bwashee kwanini unashangaa na kutafakari kimyakimyaπππau unaogopa kuchekwa kama kawaida yetu inferiority complex.
Mfalme wa dubai angeweza kujilimbikizia mali na kula na familia yake na ukoo wake, ila alikuwa na AKILI TIMAMU.Akaamua kuweka ubinafsi kando rasilimali za nchi zikaijenga Dubai,leo kila mtu anaenda kushangaa dubai mpaka wazungu wenyewe.
Ukija africa UBINAFSI na UKOSEFU WA VIPAUMBELE umetufanya tumekuwa mzigo,vituko na mazombie hapa duniani.
Leo uganda ameshindwa kukaza msuli awekeze pesa achimbe mwenyewe mafuta yake, kampa Ufaransa hapo kuna watu wamelamba 10% wametulia na familia zao mafuta yatatoka Uganda yatapita hapa kwetu yataenda Ufaransaπππππ nabado unauliza mnafeli wapi,waafrica ni jamii iliyo LAANIWA.
Wazungu hawana kosa hata ukoloni unasingiziwa ukweli usemwe sisi hakuna kitu tunaweza. Ukirudi hapa kwetu tuna GESI hiyo tu inatosha kutufanya tuishi kama Libya ya Gaddafi ila yakuwapi.
Msitafute mchawi,wala wa kumtupia zigo la mavi UBINAFSI ndio shida ya AFRICA.Ajabu ni kuwa tatizo mbegu ya ubinafsi imemea vilivyo kiasi kwamba hata mtoto anayezaliwa leo anazaliwa na UBINAFSI.We as a continent, we are finished!!!
Gesi ya mtwara na dhahabu ya bulyanhulu unajua inaweza kufanya hayo yote..? Muarabu apewe maua yakeHata huyo muarabu hana jipya, hayo mafuta yaligunduliwa na mzungu, na huyo huyo mzungu ndiye mwenye teknolojia ya kuyachimba, muarabu amekaa kupokea tu na kuvaa kobaz huku akifadhili ugaidi wa dini.