Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
90% ya wanaojua rhumba wanakupinga lakini unang'ang'ana tu hata aibu huna !Mkuu kweli kabisa umgananishe Fally Ipupa na Huyo Chipukizi Fere Golla?,Nilikuwa nakuheshimu lakini sasa nakushusha vyeo mkuu!
umepanic gentleman 🤣Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili siyo bure mkuu!
umepanic gentleman 🤣
bas sawa,
kula chuma hicho,
vitamin music 100kilos uondoe msongo na ghadhabu kidogo za kukwama maokoto ya leo
umepanic gentleman 🤣Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili siyo bure mkuu!
narudia tena wimbo moja wa feregolla ni sawa nusu ya nyimbo zote za fally pupa.Hizi ndizo nyimbo mnazojidai nazo!
1.Vita iman
2.100 kilos
3.Kamasutra
Tofauti na hapo hakuna kitu!,Sasa msanii wenu mwenye singo 3 tu unawezaje kumlingamisha na msanii mwenye singo zaidi ya 100 halafu zote KALI?
Sawa Msukuma😃😃umepanic gentleman 🤣
bas sawa,
kula chuma hicho, vitamin music 100kilos uondoe msongo na ghadhabu kidogo za kukwama maokoto ya leo
narudia tena wimbo moja wa feregolla ni sawa nusu ya nyimbo zote za fally pupa.
Vionjo vyote, tone na mashairi yaliyojaa hisia mbalimbali zinaishi maskioni na mioyoni mwa waskizaji hata kama hawajui maana ya kinachoimbwa
Fally Pupa afananishwe wasanii kama vile akina Bhudagala Mwanamalonja wa huku Meatu lakini sio Feregolla 🤣Sawa Msukuma😃😃
Yes,Wasukuma mkiongozwa na Mshamba Mbunge wa Geita Vijijini mnanishangaza sana!
Sisemi Fally hajui, ila unamjua Ferre wewe?Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Hivi huwa mko Serious au huwa mnatania?,yaani Mwanamuziki Fally Ipupa mnamfananisha na Fere Golla?
Sijajua aliyeanzisha huu mpambano kama yuko timamu kichwani.
Koffi olomide amewahi kukaliliwa akisema "Moja kati ya waimbaji na wana jumuia wangu wa bendi ya QUARTIER LATIN ambao sitoweza kuwasahau ni Fally Ipupa,huyu mtu amebarikiwa kipaji cha aina yake katika muziki,bila shaka ukimtoa Marehemu Papa Wemba na mimi,basi atakuwa anafuata yeye"
Kwa maneno hayo ya Mkongwe na Gwiji la muziki wa Dansi na Rhumba kutoka Africa bila shaka Fally Ipupa ni Habari nyingine kabisa!.Vijana huyu Fally Ipupa uenda mtakuwa mmejua juzi tu baada ya kutoa wimbo wa Bakandja,Maria na Mayday!.
Lakini mimi mkongwe na wakongwe wenzangu tunaomfahamu Fally Ipupa toka Enzo hizo akiwa Stage Show na Singer wa Koffi Olomide kutoka bendi ya QUARTIER LATIN wala hatushangai namna alivyo hatari!
Vijana niwapendekezee tu,kama humfahamu Fally Ipupa hebu nendeni karudieni show aliyoifanya Dar es salaam mwaka 2009 ndo mtaelewa ni mtu wa aina gani!(Nendeni YouTube huko mtaikuta hii show)
Kwenye ile show walipanda wasanii wenu mnaowaaminia Amini & Barnaba wakaimba wimbo unaoitwa KIDIAMFUA,aiseee nilicheka sana maana wale wasanii wenu ni kama walikuwa wanaigiza siyo kuimba[emoji23],hapa ndipo nilijua hakuna msanii kitoka Tanzania anayejua kuimba bali huwa ni wababaishaji tu!
FALLY IPUPA acheni kabisa kumlinganisha na watoto wadogo katika muziki!
Umewai kusikia watu wanakufa kwa Ferre,Werra anasimamisha mtu 65 000 hapo Fally alipotoa kafara watu.Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili!,Hivi unakijua chanzo cha FALLY IPUPA kutoka QUARTIER LATIN?
Halafu hiyo Congo iliyomkataa fally Ipupa ni Kongo Ipi?,Unajua kwamba Fally Ipupa Tarehe 29/10/2022 amepiga Show siku ya Jumamosi na watu kufa kwa kukanyagana waking'ang'ania wamuone mfalme wa Rhumba?
Yaani wakongo wamkatae Fally Ipupa na bado wajazane na kukanyagana kwenda kumuona?,Kama hamjui mambo mengine ya kiburudani semeni tuwaeleze kinagaubaga muelewe!,Siyo kubwabwaja tu!
Umewai kusikia watu wanakufa kwa Ferre,Werra anasimamisha mtu 65 000 hapo Fally alipotoa kafara watu.
Hajawai kufa hata mmoja
Bcbg wamepiga siku si nyingi hajafa mtu na ukumbini wamejaa mpaka nje.
Fally anawika kiasi tu,
Parazullia Ferre ndio king wa rhumba kwa sasa Congo.
Fanya utafiti.
KulumbaMwenye nyimbo zake mp3 aziweke hapa. Ng'wabeja 🙏🏿