A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 379
- 792
Andiko lako limeanza vizur ilaimeishia kihuni. Au maneno ya hoja yameisha? [emoji3]
Rabda tu niseme Ferre Gola ni the voice of Congo. Amebarikiwa kwa aina yake ya kipekee mashair na saut yake sio yakubeza hata kidogo. Nampenda sana Fally Ipupa... Na namjua kuliko unavyodhani maana mim naongea had ki congo licha yenu ni washabik wapenz wa huo mziki pasipo hata kuelewa lugha vizur...
Hivyo ukiniwekea Ferre gola na Fally Ipupa kura yangu kwa Le padre Ferre Gola... Nasio mimi tu wengi wanaojua huu mziki ukimwekea Fally Ipupa atasema anajua lakin ki uimbaji kuna vingi sana amebarikiwa, na huyo ndiye mrithi wa Papa wemba sijaona copy ya papa wemba zaid ya Ferre gola [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Tofaut yao ndhan ni koo wanazotoka. Fally ipupa anahusishwa na uanaChama wa freemason ni superStar wa maagano nyota yake imekuzwa zaid na zaid huko, nadhan wote tunafahamu freemason ina impact gan kwny sanaa... Sijui km ferre gola angekuwa masonic kindaki ndaki fally ipupa angeonekana kias hiki ...( Hii ni nyiongeza )))[emoji120][emoji3]
Rabda tu niseme Ferre Gola ni the voice of Congo. Amebarikiwa kwa aina yake ya kipekee mashair na saut yake sio yakubeza hata kidogo. Nampenda sana Fally Ipupa... Na namjua kuliko unavyodhani maana mim naongea had ki congo licha yenu ni washabik wapenz wa huo mziki pasipo hata kuelewa lugha vizur...
Hivyo ukiniwekea Ferre gola na Fally Ipupa kura yangu kwa Le padre Ferre Gola... Nasio mimi tu wengi wanaojua huu mziki ukimwekea Fally Ipupa atasema anajua lakin ki uimbaji kuna vingi sana amebarikiwa, na huyo ndiye mrithi wa Papa wemba sijaona copy ya papa wemba zaid ya Ferre gola [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Tofaut yao ndhan ni koo wanazotoka. Fally ipupa anahusishwa na uanaChama wa freemason ni superStar wa maagano nyota yake imekuzwa zaid na zaid huko, nadhan wote tunafahamu freemason ina impact gan kwny sanaa... Sijui km ferre gola angekuwa masonic kindaki ndaki fally ipupa angeonekana kias hiki ...( Hii ni nyiongeza )))[emoji120][emoji3]