Mkuu umenikumbusha wakati niko shule, nilikua naandika kila ninachokiwaza kwenye karatasi halafu nikimaliza nachana chana, nilikua naamini nikichana na stress zinachanikaππ. Utoto raha sana aiseeMawaso yanatesa sana.
Sipendi kuwaza hovyo, naandika kwenye karatasi kila wazo linalosumbua ubongo wangu wakati huo.
Kisha nayasoma kuna mengine hayana maana yanakata, ya muhimu natafuta solution.
Muziki, pombe ni kuudanganya ubongo kwa mda tu, kabiliana nayo na tafuta suluhisho.2
Kama hayo ya kupiga ukuta, kulia ukiwa mwenyeweMambo gani hayo nikumbushe kwanza nicheke πππ
Bangi ni mmea ulioumbwa na Mungu kwa matumizi ya binadamu, so sio dhambi kutumiaMchungaji unatumia bangi? π
Hata mie huwa nafanya hivyo hivyo, ni kupunga mkono tu πnatembea mdogo mdogo sina muda na mtu tofauti na salam kwa kupunga mkono basi.
Hahaha, it works bro, that is thinking straight vs thinking randomly.Mkuu umenikumbusha wakati niko shule, nilikua naandika kila ninachokiwaza kwenye karatasi halafu nikimaliza nachana chana, nilikua naamini nikichana na stress zinachanikaππ. Utoto raha sana aisee
π stress ni kitu ingine kabisa, ulishawahi kuwa na stress alafu ukajikwaa kidole cha mwsho cha mguu?Bora wewe ulipata na nguvu ya kuanika tena.. Niliziacha chini hadi siku ya pili asubuhi nikazikuta zimeoshwa na kuanika tena, sijajuaga nani ananionea huruma πππ€¦ββοΈ
Bora kulia, hiyo ya kupiga ukuta mbaya sanaπKama hayo ya kupiga ukuta, kulia ukiwa mwenyewe
Kula bangi mtumishi.Bangi ni mmea ulioumbwa na Mungu kwa matumizi ya binadamu, so sio dhambi kutumia
Hata mie huwa nafanya hivyo hivyo, ni kupunga mkono tu π
Kwanini?Bora kulia, hiyo ya kupiga ukuta mbaya sanaπ
UnapatikanaNa usingizi unapata kabisa mkuu?
Lia sana,then lalaHabari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifaπ.
Au ujigonge kwenye goti la mkononi, unakua unatamani kulia na kucheka vyote kwa pamojaππππ stress ni kitu ingine kabisa, ulishawahi kuwa na stress alafu ukajikwaa kidole cha mwsho cha mguu?
Hiyo ni dawa na nitaitumia pale tu nitakapokuwa mgonjwa na si vinginevyo πKula bangi mtumishi.
Unapata vizuri utakuja kushtuka baadae unazitoa au zitatoka zenyewe.Na usingizi unapata kabisa mkuu?
Ilikua inatibu stress za zamani za kitoto toto kama kufeli, au ukipewa adhabu kali, au ukizomewa darasaniππ.. Ila mistress ya kiutuuzima sidhani kama inatibu tenaππππ€£Hahaha, it works bro, that is thinking straight vs thinking randomly.
Ni mateso juu ya mateso.Au ujigonge kwenye goti la mkononi, unakua unatamani kulia na kucheka vyote kwa pamojaπππ
Kama ulishawahi kuugua lazima umetumiaHiyo ni dawa na nitaitumia pale tu nitakapokuwa mgonjwa na si vinginevyo π
Nilishatumia sana tu πKama ulishawahi kuugua lazima umetumia