Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #181
Bado uko zama za mawe za kaleMwanaume hakutani na mwanamke mtandaoni. Alafu mavazi hayana mabadiliko labda kama una maisha ya kuunga unga kwamba kuna nguo za mtoko au sikukuu. Kiufupi unasafari ndefu sana ya kujielewa hapa duniani
yani kwanza kabla hatujatoka iyo date ntakua nishakupigia video calls mara saba mshtukizo ili invute picha na hisia kabisa naenda kukutana na nani😊Usinifanyie hvyo 😅
Kama mwili ulishajiandaa kwa tukio, hizo nguvu za kukimbia utapata wapi?ntatoka tu kama naenda chooni na kupotelea hukohuko😅
Kumbe jf kuna video call 😂yani kwanza kabla hatujatoka iyo date ntakua nishakupigia video calls mara saba mshtukizo ili invute picha na hisia kabisa naenda kukutana na nani😊
Kama natumia simu ya kitochi, hapo itakuwaje?yani kwanza kabla hatujatoka iyo date ntakua nishakupigia video calls mara saba mshtukizo ili invute picha na hisia kabisa naenda kukutana na nani😊
zitapatikana tu hapohapo😊Kama mwili ulishajiandaa kwa tukio, hizo nguvu za kukimbia utapata wapi?
😂😂😂 saspenda ndo niniOvaroli na saspenda
🤣🤣🤣🤣Wala hata hawazi na tundala twake. Kalipandisha kufikia usawa wa sijui mnaita kitopu😅 na pasi yake nyuma saaaafi kabisa
kwahiyo ina maana mda wote huo mpaka mnapanga miadi mnachati jf tu🙄, hapo mtu lazima apigwe na kitu kizito😅Kumbe jf kuna video call 😂
😂😂😂Shangazi maandalizi muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii mie sitakiii.
😂 ndio je ukinivideo call alafu ukapotea? Au hujui maumivu ya kuachwa site na umegharamikakwahiyo ina maana mda wote huo mpaka mnapanga miadi mnachati jf tu🙄, hapo mtu lazima apigwe na kitu kizito😅
si bora nikuone mapema ili atakama kuna assumptions niliziweka kichwani nifute kabisa, na nijue navaa mavazi ya kuendana na mhusika 😶😂 ndio je ukinivideo call alafu ukapotea? Au hujui maumivu ya kuachwa site na umegharamika
Usije mvalia padri pajama 🤣si bora nikuone mapema ili atakama kuna assumptions niliziweka kichwani nifute kabisa, na nijue navaa mavazi ya kuendana na mhusika 😶
hahaha😅, huyo padre sasaUsije mvalia padri pajama 🤣
😂 ndio matunda ya fake IDhahaha😅, huyo padre sasa
na kweli usikute kuna maaskofu wa majimbo kabisa humu😂 ndio matunda ya fake ID
Wapo kama hadi bi mkubwa yupo wao watakosekanajena kweli usikute kuna maaskofu wa majimbo kabisa humu
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi maandalizi muhimu
kwakweliWapo kama hadi bi mkubwa yupo wao watakosekanaje