Huwa unavaa mavazi ya aina gani pale unapoenda kukutana na mpenzi wako mpya?

Yaani unitoe date halafu usiongee?unaanza kunitishatisha😂😂😂😂what the hell?
Siku moja tutoke hata maosi wa mchana uone kama hutonywea 🤣🤣🤣 nakuja na majamaa manne yamekula kaunda na miwani mywusi majitu meusi yameenda hewani yamejaa hayacheki na Alphard Nyeusi 😅😅😅 kama yana nilinda vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…