CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #41
Kuna chuo cha kusomea uaminifu?Uaminifu na pia wazungu hawasumbuliwi na madalali wa mazao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna chuo cha kusomea uaminifu?Uaminifu na pia wazungu hawasumbuliwi na madalali wa mazao
Exposire ipi? Ulimuuzia kwa hiari yako huo ufuta ay alikushikia bunduki? Kama ni bunduki hapo kuna tatizo kubwa ungereportMkuu elewa mfumo wa nchi jinsi ulivyo,huku kwetu tunalima ufuta,ilipofika muda wa kuuza tuliuza 1500kwa kilo badala ya 3000,mnunuzi alienda kuuza Dar 6000kwa kilo Tena mulnunuzi Ni mwanasiasa mkubwa ambae alitakiwa atusimamie tupate pesa badala yake ametupiga who cares??
Mimi nilime ekari 10 za mbogamboga so what? Kama Sina exposure nikatafuta soko mjini zitaozea shambani tu!!
Hahaaa ulijuaje?ni kama mzungu umpeleke yai la kuku wa kienyeji yani hamta elewana kabisa na shida wa wakulima wazawa uwongo unakuta anambiwa leta organic product anajidai mchakachuaji
Kuna chuo tukasomeee kuto kuwa waongo?Wazungu hawapendi ulongo ulongo [emoji3] siye samahani nyingi mara leo dharula mara mboga zinapigwa sawa asubuhi jioni zinapelekwa sokoni
Hakuna cha connection bali jitihada, hakuna kitu kama hicho hakipo nasema hakipoTatizo connection
Hivyo vyote vinapatikana now day, na wale wanako nunua mbegu ni huku huku tunako nunua na sisi, hakuna miujizakikwazo kikubwa ni kuwa mazao yetu hayana viwango. Huwezi kujua umeweka dawa kiasi gani, umezipanda kwenye udongo wa aina gani alimradi wewe umepanda vimeota basi.
Mkuu mbona unawaza negatively, tumtie moyo waziri ni jambo jema lile.Aione Bashe Na Farming Blocks Zake Ambazo Mwakani CAG Atatupa Hasara Yake Hapo Chinangali II Dodoma Tanzania
Hakuna cha connection bali jitihada, hakuna kitu kama hicho hakipo nasema hakipo
nimefanya nao biashara sana hawati kusikia habari ya mayai kuku wa kienyeji kabisaHahaaa ulijuaje?
Mkuu mbona unaonekana unauelewa mdogo Sana wa mambo.Exposire ipi? Ulimuuzia kwa hiari yako huo ufuta ay alikushikia bunduki? Kama ni bunduki hapo kuna tatizo kubwa ungereport
Tanzania masoko yote yamejaa madalaliMadalali wa mazao kutoka shambani kwenda sokoni, ingia soko la mabibo au buguruni utawakuta
Nyama zenyewe wanatuwekea ARV kunenepesha ngombe, mbuzi, kondookikwazo kikubwa ni kuwa mazao yetu hayana viwango. Huwezi kujua umeweka dawa kiasi gani, umezipanda kwenye udongo wa aina gani alimradi wewe umepanda vimeota basi.
Korosho zilikuwa kontena 2 zina maweSame as ufuta mikoa ya kusini, ilikua na soko cha ajabu wananchi wakawa wanaweka mchanga katikati ukipima uzito unaongezeka! Ikaondoa trust ya dealers!
we mwenyewe umelima hata ekari moja? ni ya zao gani.Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.
Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.
Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,
Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?
Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.
Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.
Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810