Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Sio product zao zote ni za green house mkuu, wanalima sana Oppeni field, na oia kwa kuzidiwa na mzigo huwa wana nunua kwa local ila sasa sisi local full usaniiii mwingi mno, yaani asilimia 90 ni usanii, ila si kwamba hatuwezi lima hio quality tunaweza sema hatujajipanga na hatuko serious

..inawezekana kulima na kuwauzia hao wazungu?

..Na ukishapata uzoefu wa ku-supply hao wazungu ndio unaingia moja kwa moja kwenye biashara na hoteli za kitalii.

..Nadhani ni vizuri kwenda hatua kwa hatua kwanza kupata uzoefu wa kuzalisha mwaka mzima, quality zinazotakiwa, na kukuza mtaji.
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810
Sisi tuna changamoto nyingi mno
Kujituma 0
Majungu 100%
Ubunifu 0
Wivu mwingi
Tamaa mbele
Uharibifu ndiyo usiseme
Majivuno kwa wingi hata kama hatuna kitu
Kujisikia ni kama kipaji
 
WANANCHIIIIIIIIIIII
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
LEO NI KIVUMBI NA JASHO.
TUNATINGA NUSU FAINALI KIBABE.
MADUNDUKA LEO YATALILIA CHOONI
 
Mkuu elewa mfumo wa nchi jinsi ulivyo,huku kwetu tunalima ufuta,ilipofika muda wa kuuza tuliuza 1500kwa kilo badala ya 3000,mnunuzi alienda kuuza Dar 6000kwa kilo Tena mulnunuzi Ni mwanasiasa mkubwa ambae alitakiwa atusimamie tupate pesa badala yake ametupiga who cares??

Mimi nilime ekari 10 za mbogamboga so what? Kama Sina exposure nikatafuta soko mjini zitaozea shambani tu!!
Uliplan kuuza bei gani before haujakutana na huyo mnunuzi?!

Kuna vitu hapo unasahau, gharama za kununua huo mzigo kwenu, kuuprocess uwe katika hali safi ya kuufunga, kuufunga, storage kuuhifadhi na kuupakiza kwenye gari gharama zake kama za maakuli, kusafirisha hadi sokoni, hapo kuna vibali, bado traffic hawajaomba hela ya kiwi, unapofika pia huko unatakiwa kuhifadhiwa, then gharama za kufanikisha mauzo kwa mteja anaetaka huo ufuta.

Shida wakulima unataka mtu akiuza ufuta 6000 wewe upate 5,500/= yeye abakie na 500/=.

Huwa najiuliza kama huwa mnafikiria sawa sawa nyie watu.

Kwenye Kilimo kuna kitu kinaitwa mnyororo wa thamani. Wewe kulima ni mwanzo tu pale, hapa katikati kuna wadau kibao ndio wanaosababisha huo ufuta usikie unauzwa sokoni bei ya 6000 badala ya ile 1,500 uliyouza wewe na kusema unanyonywa.

Kama unadhani ni rahisi haya lima ufuta halafu nenda kapambane nao huko sokoni hadi uuzwe upate hiyo 6000 yote halafu utaona hasara utakayopata.

Kitendo cha wewe kwenda sokoni kufukuzia wateja tayari msimu unakupita huku shambani unachelewa kilimo. Ukirudi huku sokoni wateja wanakuulizia vipi mzigo , utachanganyikiwa.

Wewe chagua sehemu au section yako katika mnyororo wa thamani utakaa kipande gani sio uwe na tamaa ya kutaka kumiliki vyote. Tatizo mnawasikiliza wanasiasa wanavyowadanganya ili wawaibir kura zenu.

Utasikia wakulima wananyonywa sana, korosho huku sokoni inauzwa kuanzia shilingi 3000 kwa kilo ila wao wanauza kwa bei ya hasara ya shilingi 1,500.

Sasa unajiuliza kama wewe mkulima utataka kulipwa 3000 ya bei ya soko, je hizi gharama za katikati za Aids to trade atabeba nani. Unadhani hiyo 1500 inayoambiwa unaikosa huwa wafanyabiashara wanaiweka mfukoni yote?

Tena unaweza kuta anayekuja kuchuuza kwako anapata faida ya tshs 200 kwa kila kilo. 1300 yote inalipia gharama zilizopo kufikisha mzigo sokoni.

Aiseee.
 
Shida huanzia hapo, hata tumbaku walikuwa wanaweka mawe, na maana mtu anapima kilo nyingi baadaye wakienda huko wanakuta mawe kilo zinapungua wanaanza kulalamika kumbe shida ipo kwao, yaani sijui shida huwa ninini! Kutokuwa na elimu au akili za kuzaliwa ni shida[emoji53]
Si hata sasa serikalini majitu yanaiba pesa za miradi, maendeleo yanakwama halafu wanalalamika. Ripoti ya CAG imetolewa sasa komaeni hawa wezi washikwe, yamekaa kimya yanakenua kenua meno, sasa mnataka sijui askari ndio waandamane kwa niaba ya raia.
 
Jamani mchele unamafuta mpaka unajisikitikia huku unanunua, mwanzo nilikuwa najiuliza huu mchele vipi nikajua bahati mbaya nikamfuata mfanyabiasha mmoja akaniambia sio bahati mbaya daa afya zetu ni kwa huruma ya mwenyezi Mungu
Mchele kupakaa mafuta sio swala la wizi au uhalifu. Ni process ambayo ni lazima ufanye ili kuulinda usiharibike unapokuwa store.

Mchele ukiwekwa mafuta unaweza kaa hata miaka miwili store na ukawa mtamu tu. Ila usipowekwa mafuta unabungua.

Tena mafuta mazuri ni ya nazi yale meupe ambayo hayajapashwa. Ila sababuya upatikanaji wake ndio maana yanatumika haya ya kawaida.
 
Back
Top Bottom