Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810


Mimi silaumu serikali kwenye hili vijana nao wajiongeze na kuulizia mbinu za kuingia kwenye kilimo. Tupunguze tabia za kulalama
 
Sapoti ipi hatupewi? Make kilimo ni Biashara sawa na unavyo weza fungua Hoteli, Car wash, Guest House na kadhalika, kwani hizo biasjara hapo huwa kuna Sapoti unapewa na Serikali? Wale sijaona sapoti wanayo pewa zaidi ya wao kulima na wana wafanya kazi wao, wameajiri mwa bwana shamba na Bib Shamba
Support kama mikopo, vibali, mbolea, pembejeo za bei nafuu, vibali vya kuuza nje ya nchi, pia kuna ukiritimba ni mkubwa.

Soko la uhakika ni changamoto. Uende wewe, mzungu, mhindi au mwarabu kuomba kuwa supply wa hoteli wenye utazungushwa kuliko wenzako.

Sisemi haizewekani, inawezekana lakini usumbufu ni mkubwa.
 
Mchele kupakaa mafuta sio swala la wizi au uhalifu. Ni process ambayo ni lazima ufanye ili kuulinda usiharibike unapokuwa store.

Mchele ukiwekwa mafuta unaweza kaa hata miaka miwili store na ukawa mtamu tu. Ila usipowekwa mafuta unabungua.

Tena mafuta mazuri ni ya nazi yale meupe ambayo hayajapashwa. Ila sababuya upatikanaji wake ndio maana yanatumika haya ya kawaida.
Sawa inawezekana ikawa ni nzuri je wanaweka yanayotakiwa au ni yeyote?
 
Si hata sasa serikalini majitu yanaiba pesa za miradi, maendeleo yanakwama halafu wanalalamika. Ripoti ya CAG imetolewa sasa komaeni hawa wezi washikwe, yamekaa kimya yanakenua kenua meno, sasa mnataka sijui askari ndio waandamane kwa niaba ya raia.
Wakitumbuliwa utasikia sheria zifuatwe jamani vichwa hivi sijui tumebeba ubongo au matope, Kama ile meli maarufu ya meli ya Magufuli ya samaki, walichokifanya wakaanza kukata eti vyuma chakavu mpaka meli sijui ilienda wapi, eti wakaanza kulalamikia waziri aliyekamata.
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810

Kuna mahali nilienda mkulima ni mtu anayeogopwa kuliko mtu yeyote, maana ndio anayeweza control supply na demand ya chakula eneo hilo

Naomba nikuchek PM
 
Sapoti ipi hatupewi? Make kilimo ni Biashara sawa na unavyo weza fungua Hoteli, Car wash, Guest House na kadhalika, kwani hizo biasjara hapo huwa kuna Sapoti unapewa na Serikali? Wale sijaona sapoti wanayo pewa zaidi ya wao kulima na wana wafanya kazi wao, wameajiri mwa bwana shamba na Bib Shamba

Wazungu wanakopesheka na mabenki kwavile waaminifu!! Wabongo wengi sio waaminifu; wanakwenda kopa benki halafu hawalipi madeni mwisho wake wanatumia janja janja yakwenda kushitaki benki Mahakamani na huko wanahonga na kushinda kesi na benki zinakula hasara.
This is true kwani nina ushahidi wa Mzee mmoja ana shamba huko West Kilimanjaro alichukua Mkopo benki halafu akashindwa kulipa kwani ule mkopo hakuutumia kama walivyokubaliana na mwishowe akawashitaki benki ili asilipe hilo deni.!
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810
Mkuu,Nimependa andiko lako Swali langu kwako ni Je?Huko kwenye Mashamba vibarua ni Wazungu?Je Haya mazao uliyoweka kwenye Picha Wabongo hawalimi?Je huko kwenye Mahoteli kote ni wazungu ndio wanaohudumia?Mwisho Je Unataka wafukuzwe hao wzungu ili wabongo tuhudumie hizo hotel?

Binafsi nafikiri Tatizo letu "Tunalalamika Sana lakini hata tukipewa Fursa hatutatumia bado Tutalalamika" Ni desturi ya watu wavivu na wazembe kutafuta Visingizio.Tuambiane Tu ukweli kwamba Sisi kuweza kufanya Biashara kwa viwango bado na hata pale ambapo tunatakiwa tuzingatie viwango kama vya TBS etc tunaona tunaonewa Sasa katika hali kama hii Ni hotel gani ya Nyota Kadhaa ambayo inawalisha watu matajiri duniani itanunua bidhaa bila kujiridhisha kwamba Mkulima anazingatia Viwango vya kilimo?

Tunaweza kufika huko kwa wazungu ila kwanza tuache kulalamika na badala yake tuchukue hatua.
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810

Sio wazungu, ni capital fala wewe, uache ubaguzi, Tanzania's:

1. Dont have capitals.
2. Wamiliki wa hizo Hotel wengi wazungu wanapeana biashara.

Tatizo la Tanzania ni sera mbaya za serikali, na uongozi wa hovyo wa CCM.
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810

Hakuna product hapo ambazo halimi Mtanzania, Tanzania's are very super hardworking, basi tu sera mbaya za serikali, na ubaguzi wa ki Biashara.
 
Mkuu,Nimependa andiko lako Swali langu kwako ni Je?Huko kwenye Mashamba vibarua ni Wazungu?Je Haya mazao uliyoweka kwenye Picha Wabongo hawalimi?Je huko kwenye Mahoteli kote ni wazungu ndio wanaohudumia?Mwisho Je Unataka wafukuzwe hao wzungu ili wabongo tuhudumie hizo hotel?

Binafsi nafikiri Tatizo letu "Tunalalamika Sana lakini hata tukipewa Fursa hatutatumia bado Tutalalamika" Ni desturi ya watu wavivu na wazembe kutafuta Visingizio.Tuambiane Tu ukweli kwamba Sisi kuweza kufanya Biashara kwa viwango bado na hata pale ambapo tunatakiwa tuzingatie viwango kama vya TBS etc tunaona tunaonewa Sasa katika hali kama hii Ni hotel gani ya Nyota Kadhaa ambayo inawalisha watu matajiri duniani itanunua bidhaa bila kujiridhisha kwamba Mkulima anazingatia Viwango vya kilimo?

Tunaweza kufika huko kwa wazungu ila kwanza tuache kulalamika na badala yake tuchukue hatua.
Aiseee nazani uko nje ya Maada, nazungumzia kulisha ku supply, Watanzania tunapenda kutafuta sababu sana, Kenya Hoteli za kule zina lishwa na Wakenya,
 
Mkuu,Nimependa andiko lako Swali langu kwako ni Je?Huko kwenye Mashamba vibarua ni Wazungu?Je Haya mazao uliyoweka kwenye Picha Wabongo hawalimi?Je huko kwenye Mahoteli kote ni wazungu ndio wanaohudumia?Mwisho Je Unataka wafukuzwe hao wzungu ili wabongo tuhudumie hizo hotel?

Binafsi nafikiri Tatizo letu "Tunalalamika Sana lakini hata tukipewa Fursa hatutatumia bado Tutalalamika" Ni desturi ya watu wavivu na wazembe kutafuta Visingizio.Tuambiane Tu ukweli kwamba Sisi kuweza kufanya Biashara kwa viwango bado na hata pale ambapo tunatakiwa tuzingatie viwango kama vya TBS etc tunaona tunaonewa Sasa katika hali kama hii Ni hotel gani ya Nyota Kadhaa ambayo inawalisha watu matajiri duniani itanunua bidhaa bila kujiridhisha kwamba Mkulima anazingatia Viwango vya kilimo?

Tunaweza kufika huko kwa wazungu ila kwanza tuache kulalamika na badala yake tuchukue hatua.
Mimi umeona nailaumu Serikali? Sikiliza nauliza kwa nini hatuwezi? Si kwamba Watanzania hawalimi wanalima in small scale sana, hata hao ninao wataja wakizidia na Oda huwa wana ongeza za wabongo wale ambao wana quality, shida sio kulalamika wala nini shida ni kwamba kwa nini hatuwezi? Hapa Serikali haihusiki hata chembe,
 
Umeweka ushahidi wa picha, delete basi?
Hio ni picha moja sikutaka kuja humu picha ninazo nyingi sana, kwani unataka vipi? Na sijasema Watanzania hawalimi, wanalima sana na hata hao Wazungu Oda zikiwa kubwa wanachukua kwa Watanzania pia so?

Sidhani kama umeelewa bandiko langu, ni kwamba Watanzania hii kazi ya ku feed Mahoteli ilipaswa kuwa yetu kwa asilimia 90 na sio ya Wageni,
 
Back
Top Bottom