Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Exposire ipi? Ulimuuzia kwa hiari yako huo ufuta ay alikushikia bunduki? Kama ni bunduki hapo kuna tatizo kubwa ungereport
 
Ekari 1000+? Siyo kweli.

Uzuri ni kwamba nawafahamu sana hao wazungu wa Simba Farm na historia ya shamba hilo nalijua.

Wana green house kadhaa na wanafanya open farming ya ekari ambazo kwa idadi hazifiki hata 100.

Kuhusu kulisha hoteli za Watalii nadhani ni Commitment. Wao wanalima muda wote wa mwaka. Na mazao shambani kwao yanatoka kama ambavyo order yao inasema kutokana na mikataba baina yao na hoteli husika.

Ni nadra kuwapata Wabongo wanaozalisha kipindi chote cha mwaka kwa kiwango na ubora unaotakiwa na hoteli husika.

Mtanzania anataka alime msimu mmoja na hoteli husika ziwe ndiyo wateja wake. Hiyo haipo.
 
we mwenyewe umelima hata ekari moja? ni ya zao gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…