Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Sio wazungu, ni capital fala wewe, uache ubaguzi, Tanzania's:

1. Dont have capitals.
2. Wamiliki wa hizo Hotel wengi wazungu wanapeana biashara.

Tatizo la Tanzania ni sera mbaya za serikali, na uongozi wa hovyo wa CCM.
Wamiliki hawana shida wanacho angalia ni Quality na Quantity, ukiwa na Products nzuri wa anachukua sana
 
Mkuu,Nimependa andiko lako Swali langu kwako ni Je?Huko kwenye Mashamba vibarua ni Wazungu?Je Haya mazao uliyoweka kwenye Picha Wabongo hawalimi?Je huko kwenye Mahoteli kote ni wazungu ndio wanaohudumia?Mwisho Je Unataka wafukuzwe hao wzungu ili wabongo tuhudumie hizo hotel?

Binafsi nafikiri Tatizo letu "Tunalalamika Sana lakini hata tukipewa Fursa hatutatumia bado Tutalalamika" Ni desturi ya watu wavivu na wazembe kutafuta Visingizio.Tuambiane Tu ukweli kwamba Sisi kuweza kufanya Biashara kwa viwango bado na hata pale ambapo tunatakiwa tuzingatie viwango kama vya TBS etc tunaona tunaonewa Sasa katika hali kama hii Ni hotel gani ya Nyota Kadhaa ambayo inawalisha watu matajiri duniani itanunua bidhaa bila kujiridhisha kwamba Mkulima anazingatia Viwango vya kilimo?

Tunaweza kufika huko kwa wazungu ila kwanza tuache kulalamika na badala yake tuchukue hatua.
Swala sio TBS swala ni hatuko Serious, Hizo nyota Tano zinalishwa sana, tusha uza sana mfano Starwberry Mount Meru Hoteli ni yota Tano ile, ishu sio TBS ishu ni kwamba hatuko Serious basi,
 
Hayo ni maneno ya Balozi wa Tanzania Nchini China Bwana Mbelwa Kairuki

Kuna wahindi walikuwa wakinunua Korosho Tanzania waliacha sababu ya Korosho Kontena 2 zilikutwa na Mawe
Korosho kontena 2 mawe duh
 
Jaribu set up 3 acres weka irrigation....weka hoho...nyanya bilinganya na kitunguu ....ah nyanya chungu ....mtafute soko....baada miezi 6 rudi tuongee zaidi ...supply supermarket hotel unatakiwa uwe contact supply mwaka mzima ....ndio maana unasikia acre 1000 amezigawa.....vizuri awe contact supply ....maintained quality ....ukileta ushabiki sawa.....
Kusema kweli waafrika sisi kwanza wengi roho mbaya na akili kidogo...
Wazungu hao wanapenda best solution available bila kujali ni nani mfano mwaafrika yupo tayari kumuharibia mwenzake badala ya kujifunza na wazungu wanasema ukweli ila african uongo au asikuambie chochote hata kama anajua utafeli wapi...hao wazungu wanaumoja wao mwingine analima karoti, mwingine hoho n.k. na wanapouza na kuandaa official documents za kutoa full vegetables supply inakuwa na nguvu na waonekana wako well organized tofauti na mwaafrica walio wabinafsi..
Government import ipo ila ubinafsi chuki na roho mbaya baina ya wakulima..
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810
Uchumi wa kibepari hauna uraia. Ukiwa na wazo na mtaji unaweza kwenda popote duniani na ukatekeleza.
Tukiendelea kuwaza kijamaa hatutatoboa.
 
Watu watabisha ila hilo hata mm nimelishuhudia kwanza ubora we imagine upewe tenda ya maziwa linatia maji na ngano, mtu anatumia dawa ovyo (niliwahi kula mboga moja ya majani nilitapika hatari)

Nahisi kinachofanya tusiaminike ni tabia ya watanzania kutojali basi
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810
picha nyingi kwangu hazifunguki natumia jf app nini shida wakuu?
 
Kusema kweli waafrika sisi kwanza wengi roho mbaya na akili kidogo...
Wazungu hao wanapenda best solution available bila kujali ni nani mfano mwaafrika yupo tayari kumuharibia mwenzake badala ya kujifunza na wazungu wanasema ukweli ila african uongo au asikuambie chochote hata kama anajua utafeli wapi...hao wazungu wanaumoja wao mwingine analima karoti, mwingine hoho n.k. na wanapouza na kuandaa official documents za kutoa full vegetables supply inakuwa na nguvu na waonekana wako well organized tofauti na mwaafrica walio wabinafsi..
Government import ipo ila ubinafsi chuki na roho mbaya baina ya wakulima..
Na ushirikina juu yupo radhi akuzibie hata njia ya kuingia kwako
 
Watu watabisha ila hilo hata mm nimelishuhudia kwanza ubora we imagine upewe tenda ya maziwa linatia maji na ngano, mtu anatumia dawa ovyo (niliwahi kula mboga moja ya majani nilitapika hatari)

Nahisi kinachofanya tusiaminike ni tabia ya watanzania kutojali basi
Yaani huwa inaumiza sana, mie mwenyewe kwenye maziwa yalinikuta nikaachana naye.
 
Exposure gani wakati tunalima ndani ya nchi na kuuzia ndani ya nchi? İna maana kulima products za kuuza hasa kwenye hoteli tunahitaji Exposure? Mtaji sh ngapi?
Baadhi ya majibu unayopata yanaonyesha jinsi watanzania tulivyo na mtindio wa akili. Mtanzania huwa anasoma au kusikiliza ili afanye ubishi na siyo aelimike au kutafakari kabla hajajibu. Asanye sana kwa observation yako. Halafu nchi imejaa vijana wasio na ajira maelfu. Hili ni kosa la serikali japo hata wananchi wana share yao. Kwanza kwa nini mgeni aje Tanzania kulima wakati tuna ma-graduate wa kilimo wengi?
 
Exposure gani wakati tunalima ndani ya nchi na kuuzia ndani ya nchi? İna maana kulima products za kuuza hasa kwenye hoteli tunahitaji Exposure? Mtaji sh ngapi?
Kwa hiyo neno exposure umelitafsiri kuwa ni nje ya nchi? Hata ukiwa matombo ukishindwa kuonekasha biashara yako Moro mjini utakuwa umekosa exposure
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, Kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi,

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi? View attachment 2604810
Hebu
KHapana tuna ulizana watanzania make hiu ni kazi tulipaswa kufanya sisi, sio swala la wivu, mimi nafanya nai biashara fulani ila ukweli huwa nasikitika si kwamba nawaonea wivu, ila huwa najiuliza.

Nini kinashindikana? Hamuwezi ungana? Hakuna kinacho shindikana sema tume invest kwenye kulalamika sana, sioni kisicho wezekana, Costant supply ni muhimu yes, huwezi peleka mzigo leo then wiki ijayo ukasema hauna.

Wao wana mashanba makubwa ok ni sawa je sisi tunashindwa kuunganisha haya yetu? Shida iko hapo
TUnaweza ubinafsi mwingi
 
Kwa hiyo neno exposure umelitafsiri kuwa ni nje ya nchi? Hata ukiwa matombo ukishindwa kuonekasha biashara yako Moro mjini utakuwa umekosa exposure
Maada ni kubwa kwako broo
 
Back
Top Bottom